Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Really!!? Kweli nyinyi mna shida
IMG_20181211_081614.jpg
 
Shida za Wabongo ni ubishi. Sisi Kama Wakenya tunawasaidia kuwapa upeo wa jinsi Miji inastahili kuwa. Sisi wenyewa hatujafika lakini tuko mbele yenu. Hivi mngesikiza kisha mpeleke uzushi kwa serikali yenu ilifanye mambo kama Kenya mngepiga hatua kutoka LDC. LAKINI SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, WALA HALINA KAFARA.

MFANO, TAZAMA JIJI LA NAIROBI LILIVYO PANGWA, JE DAR IS SLUM KUNA SEHEMU ILIYOPANGIKA HIVI!? ANGALIA STREETS.
View attachment 963898
 

Attachments

  • Feel the Density of Kariakoo in the background.  What do you prefer_ Density or .jpg
    Feel the Density of Kariakoo in the background. What do you prefer_ Density or .jpg
    183 KB · Views: 22
This is a city in Europe. It is not always easy to provide for all. Even Singapore has Rooftop slums. Sometimes slums are called informal settlements. Especially in Nairobi Kenya.
View attachment 964035View attachment 964036
So unajitetea au???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ slums ni zaidi ya informal settlemta na mbaya zaidi slums za nairobi ziko kwenye worse slums kumbuka hvo, informal settlements zinaweza zikwa nyumba haziko kwenye mpangilio lakini ni nyumba nzuri na huduma zote za muhimu kwa binaadamu zikawepo
 
In depth, this is how your 'planned' CBD looks like in real life
View attachment 963992View attachment 963994
Eti real life. Unajua maana ya real life?? Hivi wewe huwa mshamba ajab. Kuishi vijijini kwingi. Wewe hata Dar umefika kweli!? Unapanik unakimbia na vipicha hujui hata vya wapi.

This is how Nairobi streets looks like. Real life yako inamaanisha nini!?
IMG_20181211_082121.jpg
IMG_20181211_082021.jpg
IMG_20181211_081904.jpg
IMG_20181211_080609.jpg
 
Shida za Wabongo ni ubishi. Sisi Kama Wakenya tunawasaidia kuwapa upeo wa jinsi Miji inastahili kuwa. Sisi wenyewa hatujafika lakini tuko mbele yenu. Hivi mngesikiza kisha mpeleke uzushi kwa serikali yenu ilifanye mambo kama Kenya mngepiga hatua kutoka LDC. LAKINI SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA, WALA HALINA KAFARA.

MFANO, TAZAMA JIJI LA NAIROBI LILIVYO PANGWA, JE DAR IS SLUM KUNA SEHEMU ILIYOPANGIKA HIVI!? ANGALIA STREETS.
View attachment 963898

maxresdefault.jpg
 
So unajitetea au???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ slums ni zaidi ya informal settlemta na mbaya zaidi slums za nairobi ziko kwenye worse slums kumbuka hvo, informal settlements zinaweza zikwa nyumba haziko kwenye mpangilio lakini ni nyumba nzuri na huduma zote za muhimu kwa binaadamu zikawepo
Kibera is government land. It does not belong to the people living there. A small part belongs to the Nubians. It was started by colonialist as an informal settlement for workers. That is why no one cares to make something permanent.

However in Nairobi Kenya, there is a project to remove any slummy areas.

It is working well.

This is Kariobangi. That used to be a slum some three years ago. Now it beats the whole of Dar is Slum.
Screenshot_20181211-072719.png

screenshot_20181211-072707-png.964064
Screenshot_20181211-072634.png
Screenshot_20181211-072618.png
Screenshot_20181211-072333.png
Screenshot_20181211-072500.png
 

Attachments

  • Screenshot_20181211-072707.png
    Screenshot_20181211-072707.png
    518.7 KB · Views: 70
Back
Top Bottom