brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Siku chache baada ya kukiri kuwa kwenye mahusiano msanii wa bongo fleva Ben Pol na binti tajiri was kikenya Anerlisa Muigai mtandao wa nchini Kenya uitwao Tuko.co.ke umeandika binti huyo amewakimbia wanaume wa Kenya na kumchumbia Ben Pol, kinyume na kawaida kuwa mwanaume ndo anamchumbia mwanamke, haieleweki Kama wanahisi bwana Ben Pol hawezi mchumbia binti huyo au walikosea kuandika
Wadau hivi ni sahihi kuandika mwanaume anachumbiwa?
Wadau hivi ni sahihi kuandika mwanaume anachumbiwa?