joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hiyo ni report ya WB, wewe unaleta parapanda za Jubilee chini ya mwavuli wa tribalismNawapa credible sources nyinyi ni porojo za ccm tu...lol
Hiyo ni report ya WB, wewe unaleta parapanda za Jubilee chini ya mwavuli wa tribalismNawapa credible sources nyinyi ni porojo za ccm tu...lol
Unatapatapa unakufa maji [emoji1787]Hiyo ni report ya WB, wewe unaleta parapanda za Jubilee chini ya mwavuli wa tribalism
Hivi unajua kuwa Wakenya hamielewani na Somalia,Ethiopia, Uganda, Burundi na I am not sure about South Sudan,
Huoni Kama mna Matatizo? You should at least thank Tanzanians for being accommodative,
Itafika wakati na sisi tutawachoka
It is a crime tz hakuna extrajudicial killings tz and that doesn't make tz better than kenya Kenya has high quality of life than tzIs police killings not crime?, that is extra judicial killings, don't be stupid.
Umeshasoma hiyo ripoti ya WB na kujua % ya watanzania below poverty line na ulinganishe na Kenya?, sasa kama wananchi wengi wa Kenya ni masikini, iweje wawe na maisha mazuri?Then leta graph za middle-class.....watanzania ccm itawaua aki. Mnapika data mwishowe hamna good HDI or middle class.............kwani mnaninginia wapi
Watanzania muache rumours nani alikuambia kenya iko highest crime rate in Africa punguza kelele na utoe point hapo kwa healthcare nionyeshe kama tz imeshinda kenya unicheke slums hata nyinyi mko nayo muache kujifanya wajinga hapa ebu nionyeshe place jubilee ilifanya utafiti ikasema kenya iko na high quality of life kuliko tz angalia UN hdi rankings acha kelele argue na facts
Lete facts za WB, sio usikilize report za tribalists JubileeUnatapatapa unakufa maji [emoji1787]
Umeshasoma hiyo ripoti ya WB na kujua % ya watanzania below poverty line na ulinganishe na Kenya?, sasa kama wananchi wengi wa Kenya ni masikini, iweje wawe na maisha mazuri?
Lete ushahidi kwamba Tanzania kuna crime, ninyi mnaongoza Africa katika, crime, corruption, hunger and Slums.It is a crime tz hakuna extrajudicial killings tz and that doesn't make tz better than kenya Kenya has high quality of life than tz
Rudi nyuma usome hyo discussion vizuri uwache kuaibisha watanzania wenzakoSasa unajua we jamaa uwe unatumia akili kidogo,ubongo wako uwe unafanya kazi,si kila kitu Google tu..
Hivi unajua Nigeria inahitaji hospitali ngapi ili kuwatosheleza wananchi wake nchi nzima?? Na Botswana inaitaji hospitali ngapi ili kuwatosheleza wananchi wake Botswana nzima?
Ni kiasi gani cha fedha hutumika Nigeria kununua madawa kwa wananchi wake? Na Botswana je?
Ni kiasi gani cha kms za barabara zinazohitajika kuunganisha Nigeria nzima? Na botswana je?
Ni ujinga kulinganisha nchi yenye population ya 2 mil kwa 50+ mil...ukiona nchi ina population ndogo then ina HDI ambayo hairidhishi basi ujue kuna tatizo kubwa sana kwenye nchi hiyo,unashindwaje kuwa na HDI inayoridhisha ilhali population yako haifiki hata 10 mil..
Panic hiyo.Sasa huu ni uandishi gani? Yaani hata kuweka nukta kutenganisha sentensi umeshindwa?
I am interested in the world bank report of below 2 dollars per day.....hapo mtabanwa makende sawasawaUmeshasoma hiyo ripoti ya WB na kujua % ya watanzania below poverty line na ulinganishe na Kenya?, sasa kama wananchi wengi wa Kenya ni masikini, iweje wawe na maisha mazuri?
You chose which report fits your ego.Mfungwa hachagui gereza, HahahahahahaI am interested in the world bank report of below 2 dollars per day.....hapo mtabanwa makende sawasawa
Wacha kutupima akili hapa kwani tz hakuna crime slums hunger na corruption na mbona basi kwa hdi mko nyuma ya KenyaLete ushahidi kwamba Tanzania kuna crime, ninyi mnaongoza Africa katika, crime, corruption, hunger and Slums.
Lusematic and joto la jiwe najua washakata tiketi dar lux kuja kuona middle class nation[emoji1787][emoji1787]NAIROBI hamchelewi kuja..hata game over anaweka show hapa jf lakini Nairobi ni second home yake......abeddy ngosso,mbosso,shusho,muhando na hata aslay wamekataa kuondoka Nairobi [emoji1787][emoji1787]
Hyo pia ungeuliza world bank MBNA waseme Kenya iko na maisha mazuri kuliko tzUmeshasoma hiyo ripoti ya WB na kujua % ya watanzania below poverty line na ulinganishe na Kenya?, sasa kama wananchi wengi wa Kenya ni masikini, iweje wawe na maisha mazuri?
At least I know northern Tanzania....that's why mkijudge kenya huwa nawashangaa sanaYou chose which report fits your ego.Mfungwa hachagui gereza, Hahahahahaha
Anhaa kwa hiyo Wi-Fi ya bure ndo inakufanya usiwe unatumia akili yako,wewe ni Google tu,huna muda wa kufikiri ni mwendo wa Google tu..Mm nafanya kazi bratha kwa supermarket hapa busia border supermarket iko na wifi ya bure safaricom airtel telkom wanadeal poa za bundle ucjali jamii forum najifurahisha tu usinilaumu ya bure mm ckufanya utafiti nikasema kenya has high quality of life kuliko tz kama unashida hapo peleka malalamishi un ama worldbank