Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ichoboy you can do better than this i know you are smart hyo tweet ni mwaka gani 2014 na hayo marefugee uhuru aliwafukuza kitambo warudi kwao huwa unaona news za kenya inafaa ujue hyo ichoboy ama hakuona hyo somalia is a matter of national security to kenya it pose a threat to kenya as simple as that ichoboy swali langu bdo nategea jibu

Wewe kuna kitu hukijui na unatamani kukijua hahah yani vita muvianzishe wenyewe alafu mumtafute mchawi wapi na wapi bro😂😂😂 waswahili husema utamu wa chipsi ni mimba na utamu wa vita ni kilio sasa leo hii munajitahisi kujinasua kwenye vita lakini wapi ngoma bado nzito
 
America aliposhindwa vita somalia akaona atafute nchi iliokana na somalia akaona ni nyie ndio akawageuza chambo kwa maslahi ya america, sasa leo hii munalizwa na alshabab mpaka kwenye ardhi yenu sikwambii wale wanajeshi wenu wanaochinjwa somalia kama kuku

Hawa ndio alshabab😂😂😂😂😂👇👇
Leo unataka kusahau vita vya alshabab mulivitaka wenyewe na bado mapema tu wanawapiga kwa kuwashtukiza bado kisago cha moja kwa moja


WANAJISAHAULISHA KULE KAKUMA NA GARISA JAMAA (ALSHABABU) WALIWAFURUSHA KAMA WATOTO
 
Hawajui kama hii nchi ni moja ya taifa teule hapa ulimwenguni
South africa, comoro , zimbabwe, zambia, malawi, uganda, rwanda , burundi, angola, congo etc usisahau hzo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Na usije kusahau msaada wa tanzania kwa china hehehe kasome history ndio utajua vzr
 
Dr ndii aliwaambia SGR hii haiwezi kulipa deni la mchina hahaha ona sasa wanavohangaika huku na kule 😂😂😂👏👏👇👇👇 Tax payers mujiandae vzr kula githeri 😁😁😁😁




Ona wakilalamika😂😂👏👏👇👇👇



 
Hao hawana walijualo.......

Atii wanajiita wamesoma sana....ukifuatilia vyeti vyao unakuta mtu anadegree yakuzibua vyoo vya kibera ama degree yakupika githeri[emoji38][emoji38]
Kwa bahat mbaya dunia ya leo watamdanganya nani hata mtoto wa miaka miwili hadanganyiki[emoji23][emoji23][emoji23] roho mbaya ndio ziliwajaa wakaona wajitenge kivyao na wasikomboe nchi za africa sasa leo hii wako wapi hawana mbele wala nyuma leo morocco amekuja tanzania kuomba kibali kurudishwa AU na tanzania ndio imempigia debe mpaka karudishwa na karudisha ahsante kwa kutujengea the modern stadium in dodoma pamoja na msikiti mkubwa kinondoni dar[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Wewe kuna kitu hukijui na unatamani kukijua hahah yani vita muvianzishe wenyewe alafu mumtafute mchawi wapi na wapi bro😂😂😂 waswahili husema utamu wa chipsi ni mimba na utamu wa vita ni kilio sasa leo hii munajitahisi kujinasua kwenye vita lakini wapi ngoma bado nzito
ah wapi bro huu mwaka umesikia kdf wameuwawa na al shabaab kweli ebu niambie SAA hii Somalia iko stable than ever b4 hata we unajua ndio maana wanapatana investors kama kq vita dhidi ya ugaidi kwa Kenya in very necessary ww huona news za Kenya na kufollow tweet za wakenya huu mwaka umesikia wakilalamika juu ya alshabaab kweli ama kdf watolewa somalia just be honest
 
Sasa wewe ndio umejua, waelimishe wenzako kuwa the real battle inafaa kuwa Nairobi vs Durban/Pretoria/Jorbug/ Capetown lakini sio huo uchafu wa kijiji cha kuvulia samaki cha Dar.
Nairobi
1542976471825.png

1542976543868.png

1542976746213.png

1542976867185.png

1542977079807.png

1542977662867.png
 
ah wapi bro huu mwaka umesikia kdf wameuwawa na al shabaab kweli ebu niambie SAA hii Somalia iko stable than ever b4 hata we unajua ndio maana wanapatana investors kama kq vita dhidi ya ugaidi kwa Kenya in very necessary ww huona news za Kenya na kufollow tweet za wakenya huu mwaka umesikia wakilalamika juu ya alshabaab kweli ama kdf watolewa somalia just be honest

Sio jambo la kufurahia mwenzako akipatwa na matatizo,lakini kwahili subirini muda ndio utaongea.

Hauwezi hitimisha kwamba work done wakati juzi tu kuna watu wametekwa,na washukiwa ni alshabaab,yaani kdf iko somali alshabaab iko konya,what a f*ck.
 
Sasa wewe ndio umejua, waelimishe wenzako kuwa the real battle inafaa kuwa Nairobi vs Durban/Pretoria/Jorbug/ Capetown lakini sio huo uchafu wa kijiji cha kuvulia samaki cha Dar.
Nairobi
View attachment 943935
View attachment 943936
View attachment 943940
View attachment 943945
View attachment 943947
View attachment 943964

Wewee... Sisi majirani zenu tu ndio tunaweza kuwavumilia mnapopambanisha mbuga ya wanyama na mji wetu wa kibiashara, msijaribu kwa wengine hamjui yatakayowakuta. Yaani mbuga ya nairobi vs mji wa durban! sasa mnavuka mipaka
 
Back
Top Bottom