ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mpe ma hii ili ajielewe yuko nafasi gani👇👇👇👇👇👇👇👇Wacha povu & remember dar is ahead to nairobi in real estate $3bln,kwani ni kweli kwamba nyumba zenu zina thamani kubwa au zinauzwa kwa bei ya kibepari???
Nyumba inayouzwa dar es salaam $60000.
Basi ukiikuta nairobi ni $120000.then you are below us in real estates unaelewa nini??kwamba nyumba zenu ni bei mbaya lakini ni mbilihazitoshi mboga.


