El Matador
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 7,132
- 3,936
LolView attachment 938336The tallest tower in Mwanza
LolView attachment 938336The tallest tower in Mwanza
Kenya leads in milk,tea,coffee and flowers in Africa so nyamaza plz
Arable land nayo mlibarikiwa nayo unlike us with only 24% of arable land
Tuta ????Huku tukisambaza maji vijijini chakuskitisha nairobi maji hakuna
Nenda mombasa ukajibiwe
Lakini huwezi kupinga ukweli kwamba kiswahili huzungumzwa zaidi Tanzania kuliko nchi yoyote duniani,kukosea l na r si jambo la msingi saana,even Americans huchanganya baadhi ya maneno ya English, lakini wao wanazungumza english nzuri kuwazidi waingereza wenyewe..Haya ni makosa watanzania wengi wanafanya. Hawajui tofauti ya r na l ndio maana nikakuuliza. Sijui kwa nini umeleta maana ya dhahiri sikuwa nimeuliza. Mnaweza shindwa na wanyarwanda swahili
Jamaa uko vizuri,Kenya wanasoma historia ya waingereza tu,hawana historia yoyote kuhusu afrika kwenye syllabus zao...that is real a failed state!!Upo sawa mkuu, kipindi hicho Oscar kambona ndio alikua Katibu wa ukombozi. Hawa majamaa sijui wanasoma historia ya wapi naona wamekushambulia kama vile uliongea uongo
Acha wehu. Unajua hata per capita inapatikana vipi!?Do you think we are unlettered or what? I told you are ahead of us in purchasing power parity (PPP) but it's only a slight difference. GDP (PPP) per capita you are behind Kenya.
This is primitivity, L and R are simple letters that should not confuse you, unless you didn't go to school or you went but you were not told their difference as we all know your education is shit.Lakini huwezi kupinga ukweli kwamba kiswahili huzungumzwa zaidi Tanzania kuliko nchi yoyote duniani,kukosea l na r si jambo la msingi saana,even Americans huchanganya baadhi ya maneno ya English, lakini wao wanazungumza english nzuri kuwazidi waingereza wenyewe..
Huku tukisambaza maji vijijini chakuskitisha nairobi maji hakuna😂😂😂👏👏👏
Yeah kinjikitile ngwale alikuwa ni miongoni mwa viongozi waliokuwa na akili sana,waliowahi kutokea Tanzania,kitu usichoweza kufikiri ni kwamba kinjikitile alichukizwa na utawala wa wajerumani lakini uwezo wa kupambana na hakuwa nao yeye na watu wake kutokana na wajerumani walikuwa na siraha za kisasa kabisa,siraha za moto!..kitu alichotumia ni kuwatengenezea confidence watu wake,alitazama imani za watu wake kwa wakati huo,waafrika waliamini sana mizimu,hivyo akatengeneza kitu kama dawa ya kiasili(kiganga) akawaambia watu wake wavae then waende vitani wakitumia siraha zao za jadi kama vile panga,shoka n.k,aliwaaminisha watu wake kuwa wajerumani wakipiga risasi wao wasiogope watamke "maji" mojamoja kwa moja ile risasi itageuka kuwa maji!wakafanya hivyo na wakafanikiwa,japo walikufa wengi lakini vizazi vyetu watanzania tunajivunia ushujaa wake..Okay. Now,tell me about kinjeketile, the man who caused a lot of deaths by lying about the sacred water. And about Julius nyerere who initiated the majimaji war. That kinjeketile thing was a false prophet for sure. Maji yanaweza zuia risasi aje seriously?
No wonder some people behave weirdly here. #Majimajiresistancemindset
Your education is good..This is primitivity, L and R are simple letters that should not confuse you, unless you didn't go to school or you went but you were not told their difference as we all know your education is shit.
Nenda kasome commet yangu. Battle: Dar es Salaam vs Nairobi - JamiiForumsHata wewe acha wehu😂😂😂.
Per capita unapata hivi GDP divided by the no.of people in a given country. Eg.your GDP is $55 and you have a pop. Of 58M Kenya has a $88 and a pop. of 48M.Do the calculations Anna. Kenyais
Okay lemme ask you something..This makes no sense .smh. Were there no other options? He made them to risk their lives without them knowing. I guess he also believed that the water was going to prevent them for sure
We unaona kama inachekesha vileee....ila kwa watu makini kinjikitile katoa somo kubwa sana..Unachekesha
Kwa akili yako unafikiri walikuwa wanatawala tawala tu ovyo ovyo??Tanzania Mnapenda Kudanganya hata vitu kila mtu anajua! You cannot say here that Tanzania was one of the most established Nation in Africa and we all Know by then Ethiopia had the most civilised society and a powerful military, so powerful was Ethiopia that it was never Colonized by any external powers. Tz was just a jungle filled with weak corrupt ethnic groups who were willing to sell their own for slavery in exchange for materialistic things, just like the rest of Africa, the white man could never writte about Ethiopian Supremacy and Civilization because of his main motive in Africa (to exploit the weak wealth) Hata hio ya Kabaka ilikua weak! But established. Ethiopia is the only nation with the bragging rights of historical Supremacy of civilization and military powers in Africa, with a fully established monarchy system. Usitudanganye hapa