Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Thibitisha kama ni ya 2017 mimi nina ushahidi ni ya 2009.
Hapo kwa hiyo picha kuna Tpa, pspf towers, sasa uniambie hizo tower zikijengwa 2009?.......I remember tower ndefu wakati huo zilikua bot tower na ni 72m Kwa urefu
 
Haha hizi nyumba zinakukosha sana eeh? View attachment 938014
Hii ndio size ya kijitonyama
tapatalk_1540128866392.jpeg
tapatalk_1542380157280.jpeg
 
Tpa,pspf are the only tower found in Dar slum,but since their completion in 2014 they are still empty up to date

tapatalk_1540151033905.jpeg
 

Attachments

  • tapatalk_1540151033905.jpeg
    tapatalk_1540151033905.jpeg
    59.3 KB · Views: 17
Do you think wauza njugu are included in the list of employed people kama huko kwenu? Hata yule ankoo wenu anayeuza makaa CBD ameajiriwa tz
Pwahahaha!!! This is the International Statistic Organization. Indicators zilizotumika Tanzania ni hizo hizo zimetumika Kenya.
Kwisha habari yako.
 
Huwezi niaminisha chochote. Mnaweza kuwa na kazi lakini mishahara ni duni kupindukia.Erodisii kauntli watu wanalipwa hela kidogo sana
Pwahahaha!!! Mishara duni ukilinganisha na nini? Sisi goods and services Tanzania ni cheap. Kenya is expensive. Do you now the meaning of PPP?
 
Huwezi niaminisha chochote. Mnaweza kuwa na kazi lakini mishahara ni duni kupindukia.Erodisii kauntli watu wanalipwa hela kidogo sana
I doubt if those things Tanzanians call jobs are jobs........there's no way in this world you can claim to have that low unemployment but the number of middle class is negligible and the country is least developed
 
Back
Top Bottom