Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Jinsi mnavyo tafatuta picha za NairobiπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20181031_214758.jpg
 
Ichoboy keeps repeating kariakoo and sijui posta daily
Kariakoo sio level yako budaa pambana na hali yako kwanza na chunga usitikise hali ya mwenzio piaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
I don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
Punguza uongo budaa hakuna new picha hata moja hua munapost hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yani unaongopa mchana kweupe huogopi kua Mungu anakuona😁😁😁
 
Hili shamba na hawa ng’ombe wanaishi vzr kuliko wakenya wanaoishi kwenye slumsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡kitu ya watu wakubwa

 
I don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite

Sure you didint,reason ni kwamba haina volume tena,ni simba mzee hawezi shika hata bata.

Upperhill yenyewe ni mpya lakini imeshindwa,kasi ni kubwa sana.

Ni muda sasa mkubali wingi wa watu wa dar umeanza kuleta effect moja kwa moja.
 
Shure you didint,reason ni kwamba haina volume tena,ni simba mzee hawezi shika hata bata.

Upperhill yenyewe ni mpya lakini imeshindwa,kasi ni kubwa sana.

Ni muda sasa mkubali wingi wa watu wa dar umeanza kuleta effect moja kwa moja.
"Shure you didint" ni nini?
 
Ilipofikia victoria inafaa sasa ipambanishwe na nairobi,itashindwa kwenye vichaka pekee.
Hehehe alaf wakiskia dar is the second fastest growing city in africa hawashtuki tu wanafkiri bado ni 90sπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe jamaa acha uongo....utakuwa mtu wa ccm wewe....the fact is african countries shares a lot of problem
Watanzania tumefundiswha ustaarabu tangu zamani, Kenya hampendi majirani wenu wafanikiwe kuwazidi, hata mkiaangalia humu Watanzania ni nadra kutumia neno chuki, ila kwenu ni kitu ipo moyoni mwenu ma ndio defensive mechanism yenu eti Watanzania tunawachukia.

Angalia hata baadhi ya wabunge wenu walivokuwa wanadandia suala la Bobby wine (Ile haina tofauti na kuingilia internal affairs za Uganda).

Mwisho, That so called Middle Income kwa standard zenu tushavuka, now tunahakikisha nchi yetu hakuna mtu anakufa kwa kunywa maji machafu, Sisi kila kata ina Shule hata huko umasini, kila Kata inaboreshewa Zahanati,sasa tunahakiksiha Kila Kaya ina uhakika wa maji safi na salama
 
Wewe jamaa acha uongo....utakuwa mtu wa ccm wewe....the fact is african countries shares a lot of problem

Then anatokea wapi kichaa kujigamba kifua mbele ya wenzie kwamba yeye bora katika matako ya nini sijui???

Mtu unaishi juu ya dola moja let say 1.9$ kwa sikuunamcheka mwenzio wa 0.9$kwa siku,wakati wenzetu kibarua wa chini,analipwa kwa saa 1$??

Kweli tofauti ya mwafrika na nyani ni,mmoja anatembe na miguu minne na mwingine miwili.
 
Back
Top Bottom