ππππππJinsi mnavyo tafatuta picha za NairobiπππI don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
ππππππJinsi mnavyo tafatuta picha za NairobiπππI don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
Niliaibika kwa nani tena hebu nieleze kahaba wa nai ππππKilaza ichoboy. Juzi uliaibika hadi ukatoweka ππππππ
Kariakoo sio level yako budaa pambana na hali yako kwanza na chunga usitikise hali ya mwenzio piaπππππππIchoboy keeps repeating kariakoo and sijui posta daily
Hapa imeisha kilichobakia wanawe mikono tuπππππππππThen mmemaliza nairobi yotekwa kiwewe.
Punguza uongo budaa hakuna new picha hata moja hua munapost hapa πππ yani unaongopa mchana kweupe huogopi kua Mungu anakuonaπππI don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
Ujinga...
I don't even remember a kenyan repeating cbd photos like you Tanzanians......only that your one sided brain sees the opposite
"Shure you didint" ni nini?Shure you didint,reason ni kwamba haina volume tena,ni simba mzee hawezi shika hata bata.
Upperhill yenyewe ni mpya lakini imeshindwa,kasi ni kubwa sana.
Ni muda sasa mkubali wingi wa watu wa dar umeanza kuleta effect moja kwa moja.




ππππππππππππ
Makamasi tuππππππ

,itashindwa kwenye vichaka pekee.Hehehe alaf wakiskia dar is the second fastest growing city in africa hawashtuki tu wanafkiri bado ni 90sπππππIlipofikia victoria inafaa sasa ipambanishwe na nairobi,itashindwa kwenye vichaka pekee.
Watanzania tumefundiswha ustaarabu tangu zamani, Kenya hampendi majirani wenu wafanikiwe kuwazidi, hata mkiaangalia humu Watanzania ni nadra kutumia neno chuki, ila kwenu ni kitu ipo moyoni mwenu ma ndio defensive mechanism yenu eti Watanzania tunawachukia.
Angalia hata baadhi ya wabunge wenu walivokuwa wanadandia suala la Bobby wine (Ile haina tofauti na kuingilia internal affairs za Uganda).
Mwisho, That so called Middle Income kwa standard zenu tushavuka, now tunahakikisha nchi yetu hakuna mtu anakufa kwa kunywa maji machafu, Sisi kila kata ina Shule hata huko umasini, kila Kata inaboreshewa Zahanati,sasa tunahakiksiha Kila Kaya ina uhakika wa maji safi na salama
Hebu fafanua point yako tafadhaliWewe jamaa acha uongo....utakuwa mtu wa ccm wewe....the fact is african countries shares a lot of problem
Wewe jamaa acha uongo....utakuwa mtu wa ccm wewe....the fact is african countries shares a lot of problem


unamcheka mwenzio wa 0.9$kwa siku,wakati wenzetu kibarua wa chini,analipwa kwa saa 1$??