Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In reality View attachment 937061
tapatalk_1542362937247.jpeg
View attachment 937063
tapatalk_1542362928537.jpeg
 
From 2007-2017 Kenya ilikuwa kwenye flight mode. This year moving forward you will be just smelling the smell
Nakwambia tanzania imeanza developments within 10 years na huyu jamaa sasa anamiaka mitatu tu hebu imagine vile munalia hamulali😂😂😂😂 bado 7 good years
 
"Tulikuwa South Africa kuwasaidia kupata Uhuru kwa miaka 30 tukasahau kujenga kwetu"... I don't want to hear this shit again. Hii si point ya kuargue
Kwasababu tumewakuta na tunawaacha, lazima usikie haja kubwa na ndogo zinakuja kwa wakati mmoja
 
Hapo nimechapia kidogo kutype hilo ni neno la kiswahili fasaha na si neno la vijiweni hapa tukisema tutumie lugha za vijiweni hatutoelewana mngeishia kuambulia neno moja moja

DHAHIRI- ni neno la kiswahili linalomaanisha "inaaminika" su kwa maana nyingine "sio siri"
Dhahili ndio nini sasa? Kiswahili cha vijiweni
 
Back
Top Bottom