tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Haupo seriousTanzania ina 2400 dar 1200...2017
Haupo seriousTanzania ina 2400 dar 1200...2017
you can upload that pic as many time as you want.I won't stop asking why you get so damn hungry after we call you "watchman"?.Annael kwanza huwezani na facts...ety nlitoroka I was very busy...kadoda umekuja na uchokozi picha yako next inaload..at least annael ckuhizi anajua cha kusema...wewe I'll deal with u meticulously
Wamulike waone Hawa, nyang'au wanasema hatuma stima tunajenga reli ya umeme? Hua wanaakili za kifala Hawa wanadhani kila kitu wanaweza kushinda kama marathonUbungo DSM.
View attachment 500279
Watanyooka tu wezi hawa.Wamulike waone Hawa, nyang'au wanasema hatuma stima tunajenga reli ya umeme? Hua wanaakili za kifala Hawa wanadhani kila kitu wanaweza kushinda kama marathon
Soma kwanza hilo tangazo likuingie akilini maana akili yako ndogo sana
View attachment 499947
eti ananichimba mkwara.huyu watchman ni bwege kweli aisee.Heheheehehe Mzee wa iPhone 7 karibu sana😀😀😀😀😀😀
aah kumbe iphone7 in da building jamani makofi kwake[emoji122] [emoji122] [emoji122]Annael kwanza huwezani na facts...ety nlitoroka I was very busy...kadoda umekuja na uchokozi picha yako next inaload..at least annael ckuhizi anajua cha kusema...wewe I'll deal with u meticulously
Hehehhehehe facts za CHOLO mzii hizo a.k.a Mzee wa iPhone 7😀😀😀😀🙂🙂🙂🙂😀Mmeshajua
1.Nairobi GDP = $40b Dar = $7 b
2.HNWI Nai=6500 Dar= 1200
3.Super highways Nai=3 Dar = 0
4.Airports Nai= 3 Dar=1
5.CBD's Nai=3 Dar=1
6.Malls Nai=over 30 Dar= about 10
7.footbridges Nai=55 dar = 5
8.BRT Nai = 0 Dar =1
9.multinationals Nai= 70 dar= 0
10.embassies Nai= 64 dar= 28
11.has a beach Nai= No Dar= yes
12.Has a National park Nai=yes Dar= No
13.slum residence Nai= 40.77% Dar=73.67 %
Kelele za vuvuzela hazinaga maana...mlete facts hapa
Hehhehhhehe nilikwambia kueni makini na tanzania ya 2017 msifkiri tulikaa kimya bure hehhehhehe mambo moto munashtuka leo its too late....mapovuuuuu kibao ya niniSawasawa na mtu mwenye kipato cha laki moja na wake 4 anamringia wa kipato cha milioni1 kwamba yeye akiwa na mtoto 1, yeye anao wa4. Akiwa na wa2, yeye anao 8. Akiwa na wa3, ye anao 12!!
Huyu mtu hajielewi!!!
Hehe hehe! ! Dah!Acha uongo wewe kilaza angalia apo budjet yenu na tafta uone budget yetu
Danganya waliojua
Tanzania 31.1trilion
Kenya 33 trilion
Na ikumbukwe kenya kuna mafisadi wakutosha2
Alafu no 13 kila siku nakufundisha hahhahahahha huelew umeona balaa hiloMmeshajua
1.Nairobi GDP = $40b Dar = $7 b
2.HNWI Nai=6500 Dar= 1200
3.Super highways Nai=3 Dar = 0
4.Airports Nai= 3 Dar=1
5.CBD's Nai=3 Dar=1
6.Malls Nai=over 30 Dar= about 10
7.footbridges Nai=55 dar = 5
8.BRT Nai = 0 Dar =1
9.multinationals Nai= 70 dar= 0
10.embassies Nai= 64 dar= 28
11.has a beach Nai= No Dar= yes
12.Has a National park Nai=yes Dar= No
13.slum residence Nai= 40.77% Dar=73.67 %
Kelele za vuvuzela hazinaga maana...mlete facts hapa
Napenda sana ubishi wako........ hivi ndo inavyotakiwa!Hehhehhhehe nilikwambia kueni makini na tanzania ya 2017 msifkiri tulikaa kimya bure hehhehhehe mambo moto munashtuka leo its too late....mapovuuuuu kibao ya nini
Alafu uniletee official source ya HNWI 6500 na iwe official document 😀😀😀🙂🙂🙂Mmeshajua
1.Nairobi GDP = $40b Dar = $7 b
2.HNWI Nai=6500 Dar= 1200
3.Super highways Nai=3 Dar = 0
4.Airports Nai= 3 Dar=1
5.CBD's Nai=3 Dar=1
6.Malls Nai=over 30 Dar= about 10
7.footbridges Nai=55 dar = 5
8.BRT Nai = 0 Dar =1
9.multinationals Nai= 70 dar= 0
10.embassies Nai= 64 dar= 28
11.has a beach Nai= No Dar= yes
12.Has a National park Nai=yes Dar= No
13.slum residence Nai= 40.77% Dar=73.67 %
Kelele za vuvuzela hazinaga maana...mlete facts hapa
Unajua kwanini nakwambia tanzania ya 2017 kwasababu mlizoea kukariri tanzania imelala tu sasa leo munashangaa kuona maajabu ndio maana natumia tanzania ya 2017 maana take unbelievable year hehehehhehehehNapenda sana ubishi wako........ hivi ndo inavyotakiwa!
Tatizo ni pale unapoamka asubui..... then there is that one thing ALWAYS blocking your view, Kenya ya 2017!
Ukombozi wako ni kugeuka for a different view, otherwise kenya will always be your only view! Tafakari!
kuna post moja ulidai kwamba wewe si mkenya.Napenda sana ubishi wako........ hivi ndo inavyotakiwa!
Tatizo ni pale unapoamka asubui..... then there is that one thing ALWAYS blocking your view, Kenya ya 2017!
Ukombozi wako ni kugeuka for a different view, otherwise kenya will always be your only view! Tafakari!
Si washaona kisu shingoni sasa wanahangaika huku na kule heheheh wengine wanafungua Id mpya kila siku hehehheehehhehekuna post moja ulidai kwamba wewe si mkenya.
inakuaje inapotajwa kenya,unashikwa na "mfadhaiko" sana?.
Dar Es Salaam oyeeee!! Nairobi ziiiiiii! Slums capital of East Africa.OOOOH! Now I know you guys just love to compare yourselves with us, maybe to console yourselves that you are close. After we beat you in a thread you sensationally come up with another one, We are better than you in every possible way and you know it. Maybe this thread will make you happy for a moment but after several posts you will open another one. I am sure it is not your memory. We have like 10 threads already showcasing this things.
kwani itakua mara ya kwanza kuuwana? Waliuwana 2007 na bado wako mbele. Nothing new!Unajua kwanini nakwambia tanzania ya 2017 kwasababu mlizoea kukariri tanzania imelala tu sasa leo munashangaa kuona maajabu ndio maana natumia tanzania ya 2017 maana take unbelievable year hehehehheheheh
Mutahangaika sana lakini kazi munayo tena sio ndogo malizeni uchaguzi kwanza muuwane kama mwaka mzima hvi alafu sisi tuendelee kujenga nchi hata Ethiopia kaliona hilo ndio maana kakimbia kutumia bandari ya dar mapema