Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hizi picha za Dar zinawasaidiaga sana majirani zetu kuombea mikopo ya wachina, ndio maana wanatangazaga vivutio vyetu kuwa vyao. walitumia picha ya mlima Kilimanjaro, Serengeti na Ngorongoro kupata kibali cha kurusha ndege Marekani
 
Acha uongo,sio Oysterbay hapo. Hii ni Kimweri Avenue, Msasani. Ukienda mbele hapo ukikata kulia ipo Capetown fishmarket.
Aaah!!! Asanta. Kwa mara ya kwanza nimepata mwenyeji wa Dar. Asanta.

Lakini nyuma, usinde upande wa cape town fish market. Ukirudi nyuma na hii street tu, si hapohapo nikaambiwa Oyster Bay!?
 
Back
Top Bottom