Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nimechoka na maneno yako yasiyoisha, leta picha kama hizo nilizopost nione kama huna kaa kimya na mambosasa yenu
Wewe naona umejileta pabaya
Mombasa city
IMG_20181114_200214.jpg
IMG_20181114_200135.jpg
IMG_20181114_200251.jpg
IMG_20181114_195918.jpg
 
wewe naona hujanielewa, we si umeanza housing au sio wewe. Niletee hizo houses za mambosasa ambazo ni bora kuliko Dar halafu nione halafu tena msilete hizo edited photos, tuleteeni real stuff kama hiziView attachment 933930
Basi wacha nikupe real estate Mombasa. Na usije hapa na hotel!!!! Residential only first.
IMG_20181114_193443.jpg

IMG_20181114_193517.jpg
 
So mulipoteza za kusherekea bure😂😂😂😂😂😂😂

Loss creating worse🎶🎶🎶
4C1FD4DC-BE7F-4318-AA59-8431906E50B6.jpeg
 
Morocco Square kila siku!? Hiyo ni CBD. NILISEMA LETA RESIDENTIAL DAR TUONE NA MOMBASA.
View attachment 933957View attachment 933958
tatizo hauelewi hata unachokiongea. Kwanza morocco square haziko CBD pili Kwani residential buildings haziwezi kuwa CBD? haujawahi kusikia apartments kwenye majengo ya CBD? naomba usinipotezee muda wangu maana hauelewe unachokiongea
 
Back
Top Bottom