Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1542213898857.png
 
Napenda vile wewe huelezea mambo kinagaubaga. Kama pop.ni hiyo ni sawa maana region kuitwa city lazima iwe na pop.ya 300k.Hivyo vigezo vingine imetimiza kweli?
Move ya kufanya Mbeya, Tanga na Arusha kupata status ya city ilikua kuzipa sifa ya kupata projects kubwa ambazo zinakua allocated kwa majiji tu. Na ndicho kinatokea kwa Dodoma saizi. Naona Tanga inasuasua saizi ila ni moja ya sehemu nzuri sana Tanzania.

Mbeya iko nyanda za juu kusini (southern highlands zone ) ambako hamna jiji kubwa. Kwahiyo serikali iliamua kuifanya Mbeya jiji kubwa kwa ukanda huu. Kwa sasa inajikongoja hivohivo
 
Ichoboy tuseme mnataka vita residential za Mombasa na Dar +Zanzibar sivyo?? Mko tayari na hakika tuanze!?
Nakuonesha vile coastal city inafaa kua angalia kwa unakini budaa hamuna hata proper pedestrian path along oceanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Znz😁😁😁😁
5BC31A4A-0EB5-4B78-A5CD-1CF81C0DCA47.jpeg

B0E89A9E-68F4-42A8-AF66-FE78A033386E.jpeg
62A95444-EAB5-4972-8054-02DF41AE2EE8.jpeg






BongoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
BC84987F-C701-4354-8DF9-5119F63565BD.jpeg
C51F69CC-DFDB-4435-A598-1F18CB1D209F.jpeg
5038B3E8-BC4C-44B6-8918-3D1C54808829.jpeg
D44165F5-97FD-4CF1-9DBB-9A08A6D8BF2D.jpeg
 
Back
Top Bottom