Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa nakiambia kila siku your brain was dumped along with placenta na huelewi. Pinnacle and Montave are private investments, the do whatever they want with them, hata wakipenda kueka hiyo land for 100yrs without using it ni kwa raha zao. Nairobi-Mombasa highway was signed last month, we don't expect work to start today and so don't you.
Where are they??? Was signed but ni render sawa😂😂😂👏👏 tatu na konza wapi???? Wapi likoni bridge inapumulia mipira ya mikojo😁😁😁
 
Where are they??? Was signed but ni render sawa tatu na konza wapi???? Wapi likoni bridge inapumulia mipira ya mikojo
Tatu hii hapaView attachment 932014
downloadfile-4.jpeg
Di3B5YCW4AY41Cm.jpeg
DUtdLHyVQAEBVj6.jpeg
tatu_city_kiambu_kenya.jpeg
DcRtkqBW0AU4bga.jpeg
 
Amejiunga na jf juzi. Ndio anajifunza kuandika
Most of these Tanzanians in JF doesn't know how to write. They have been saying here that English is not a measure of intelligence and I agreed with them, today I'm also waiting for one to tell me that writing isn't also a measure of intelligence.
 
I may be arguing with a madman without knowing, let me zip my lips.

Ahahah wakat mwingine acheni ujinga wewe unanionesha nn hzo wakat still hata real construction hamujaanza na leo 7 yrs alaf bado unaoanua mdomo na tatu au konza😂😂😂😂😂
 
Where are they??? Was signed but ni render sawa😂😂😂👏👏 tatu na konza wapi???? Wapi likoni bridge inapumulia mipira ya mikojo😁😁😁
Njoo kwangu uwe mke wa kwanza hahaaaaaa
Jamani nisaidieni kutafautisha render hii na picha hzi kuna nini kinaendelea hapa 7 yrs now😂😂😂😂😂👇👇👇👇
Render
View attachment 932028






Picha ya tatu sasa hvi👇👇👇👇View attachment 932029
Punguza mdomo kwanza, hebu tuelezee haya yanayojiri pale Tanzagiza. Nasikia ni kubayaaaaa
Katika gazeti la Daily News la tarehe 12 November 2018 kuna tangazo kutoka TRA kuwa vifaa vinavyotakiwa kutumika kwa ujenzi wa reli ya Standard Gauge ambavyo vipo bandarini vitapigwa mnada endapo vitashindwa kulipiwa ushuru.
Je hii inaamaanisha mkandarasi ameshindwa kulipa ushuru ?
 
Punguza mdomo kwanza, hebu tuelezee haya yanayojiri pale Tanzagiza. Nasikia ni kubayaaaaa
Katika gazeti la Daily News la tarehe 12 November 2018 kuna tangazo kutoka TRA kuwa vifaa vinavyotakiwa kutumika kwa ujenzi wa reli ya Standard Gauge ambavyo vipo bandarini vitapigwa mnada endapo vitashindwa kulipiwa ushuru.
Je hii inaamaanisha mkandarasi ameshindwa kulipa ushuru ?
Leta source official alaf nitag tuanze kujadiliana 😂😂😂👏👏👏👏👏
 
Wanapata lesson from tanzania and now rwanda 😂😂😂😂 failed state

 
Back
Top Bottom