Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

si kila anayejua anapata nafasi yakujulikana world wide,,,,kiukweli kenya hamna wasanii wa hiphop wanaoweza zaidi ni mnaongea swahili mbovu kwenye michano anayejitahidi kidogo hapo ni khaligraph tena 100% mistari yake haina maana wala mpangilio ila flow zake ndiyo angalau ziko poa

Hiphop in tz haijapata kipaumbele tofauti na wanaoimba
owinyo our village champion rapps better than these things called rappers that lusematic is posting.............hao hata free style top 20 africa hawaoni
Sikiliza nyimbo ya watu wazima ni yakitambo sana kama unaujua mziki utawaelewa tena kwa jicho la tatu ila kama haujui mziki utatoa toa tu macho
Wasikilize kwa umakini

 
hahaa. Pole nilisahau Tz hakuna Magari. Kama Nairobi pekee iko na Magari mingi kuliko Tz yote? Why would you need such infrastructure anyway. Nakuru Hupitisha goods/passengers from Uganda to Mombasa/Nairobi it needs such infrastructure.
TZ IMETAWANYIKA SANA
DAR - CHALINZE - TANGA- MOSHI- MOMBASA, ARUSHA NAIROBI
MOROGORO - DODOMA -SINGIDA- MWANZA- UGANDA - RWA
MOROGORO - IRINGA - MBEYA TUNDUMA - MALAWI - ZAMBIA - CONGO

HATUTEGEMEI BARABARA MOJA KAMA KENYA
 
All africa ID yetu ni black ila tunazidiana black yakenya ni imepitiliza ni weusi ulio mchafu wala hatupondi ila huu ni ukweli usiopingika na kuhusu poor black huo ni wadhifa wenu wakenya turkana & kibera n.k
Umekubali nyinyi si Whites. You are poor black Africans. Muache kuponda waafrika wengine kisa weusi
 
TZ IMETAWANYIKA SANA
DAR - CHALINZE - TANGA- MOSHI- MOMBASA, ARUSHA NAIROBI
MOROGORO - DODOMA -SINGIDA- MWANZA- UGANDA - RWA
MOROGORO - IRINGA - MBEYA TUNDUMA - MALAWI - ZAMBIA - CONGO

HATUTEGEMEI BARABARA MOJA KAMA KENYA
I hope you are sober.
 
Anaitwa Nahreel......


Halafu wawe weupe wawe weusi ni juu yao sina tatizo nao wacha wapige pesa ila nimegundua unaweza ukawakipofu yaani utakuwa na matatizo ya macho
Umeanza ukorofi tena? Yule jamaa wa Navy kenzo anaitwaje? Huyo,wewe,wasafimembers,******** na wengine wengi ni weusi kupindukia
 
Tuta tuta tuta from MLDC.
Ulivyo mshamba hujui hata green energy ni nini. Kwa kifupi is the energy from solar, wind, geothermal nk. Kwa taarifa yako hizo energies ni expensive kulinganisha na hydropower.
Cost ya one unit electrical energy from hydropower is tsh 35, gas 100, thermal almost 200, solar 200+.
Shitukeni vijana.
Sasa muone!!
 
Back
Top Bottom