Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapana hii bado haitoshi mboga.ndio kwanza ina jengo moja refu the rest ni mabweni ya kulala.
Na hii yenu si inajengo moja na slum
tapatalk_1540128264158.jpeg
 
Hahahahaaaa.... Nairobi inazidi kutesa hapa Africa kwa speed ya juu Sana... upperhill kuna twin tower zimekua proposed juzi na zikijengwa ninauhakika Africa hatutakua na competitor upande wa tower ndefu na iconic.....tower one itakua na 55 flr na hiyo ingine itakua na 37 flrView attachment 929665View attachment 929666
Renders asante bro😂😂😂👏👏👏👏
Pinnacle ma montave zikwapi munaota ndoto na ndoto za nyuma hazijaisha😁😁😁
 
Same way wewe unaijua Kibera ambayo ni only 2.5sq. km yet 90% of Dar (over 1000 sq.km) ni slum na huioni.
Siku ukipata google earth inaonesha upuuzi huu kwa dar nitag😂😂😂👏👏👏👇👇👇👇👇👇👇maana munaona mzungu mjinga sana 😁😁😁😁
27FC9CC0-072C-4EFB-A28E-FC51AF3C6EDD.png
 
Back
Top Bottom