Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahaaaa.... Nairobi inazidi kutesa hapa Africa kwa speed ya juu Sana... upperhill kuna twin tower zimekua proposed juzi na zikijengwa ninauhakika Africa hatutakua na competitor upande wa tower ndefu na iconic.....tower one itakua na 55 flr na hiyo ingine itakua na 37 flr
tapatalk_1541928553059.jpeg
tapatalk_1541928536137.jpeg
 
Hahahahaaaa.... Nairobi inazidi kutesa hapa Africa kwa speed ya juu Sana... upperhill kuna twin tower zimekua proposed juzi na zikijengwa ninauhakika Africa hatutakua na competitor upande wa tower ndefu na iconic.....tower one itakua na 55 flr na hiyo ingine itakua na 37 flrView attachment 929665View attachment 929666
Hapa huwezi waona majirani...Kwa sasa wao wanapumulia mashini kwa sababu walijalibu kushindana na ndovu kunya
 
Oh braggart. I can see you are trying to educate yahself. A piece of advice, make sure that foreskin is removed to avoid certain complications if you understand what I mean dunderhead
WTF,!? Wewe demu unajielewa kweli,,, na uhakika hujielew! kweli vice versa is true naona tayar umeshajitabiria kuwa utapata *complications nyingi kipind utakuwa unajifungua kwasababu hile FGM iliyokupata ilikuwa best of all.
 
Pinnacle itaendelea tu na mwaka ujao foundation itakua imemalizika ndio tower yenyewe ishe 2021..…nayo montave wanagoja barabara abayo imepita karibu na entry ya site yao imalizike kujengwa ndivyo waendele

Mahakama imezuia ujenzi wa pinnacle
Avic nayo majanga inasubirishwa.
Sijui hiyo labda itafaulu.

Anyway mahesabu unayotoa 2021 ni wazi kabisa dar itakuwa imevuka league za nairobi,hutaki tunza ujinga.
 
Mahakama imezuia ujenzi wa pinnacle
Avic nayo majanga inasubirishwa.
Sijui hiyo labda itafaulu.

Anyway mahesabu unayotoa 2021 ni wazi kabisa dar itakuwa imevuka league za nairobi,hutaki tunza ujinga.
Sasa wewe, wakati mwingine jaribu kupelekana na wakati....avic inaendelea bila shida yoyote na sasa iko floor ya 32, kisha uniambie unasema Dar itapita Nairobi kwa kitu kipi wakati tower ya mwisho Kua proposed hapo Dar kulikua 2014 na zile proposed za Nairobi humuwezi pata hata moja ndefu kuliko hizo
 
Sasa wewe, wakati mwingine jaribu kupelekana na wakati....avic inaendelea bila shida yoyote na sasa iko floor ya 32, kisha uniambie unasema Dar itapita Nairobi kwa kitu kipi wakati tower ya mwisho Kua proposed hapo Dar kulikua 2014 na zile proposed za Nairobi humuwezi pata hata moja ndefu kuliko hizo

Nakwambia kaa in denial,ukuje ukufe kwa pressure,hiyo 2021.hatuna kawaida ya kutupia renders humu.

Huwa tunapenda mkutane na shock
 
Back
Top Bottom