kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
i'm 100% sure hii inaweza kuwa ni sabotage. nalisema hili kwasababu siku zote mkenya hapendi kuona mtanzania ana prosper katika kazi zake.
kuna baadhi ya blind patriots wa kikenya wanaumia sana kwenye nafsi wanapoana vijana wanamziki toka tanzania wanapata kandarasi ya ku-perform kwenye event kubwa za kenya.
but pia yawezekana ikawa ni sabotage within kenyan music promoters and event organizers themselves. yaani utakuta wao kwao wanafanyiana hujuma since huwa hawapendani.
time will tell.
kuna baadhi ya blind patriots wa kikenya wanaumia sana kwenye nafsi wanapoana vijana wanamziki toka tanzania wanapata kandarasi ya ku-perform kwenye event kubwa za kenya.
but pia yawezekana ikawa ni sabotage within kenyan music promoters and event organizers themselves. yaani utakuta wao kwao wanafanyiana hujuma since huwa hawapendani.
time will tell.





