Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rock city
1541748018529.png
 
Maisha bora... endelea kujifurahisha.. maisha bora na bado maendeleo finyu,uhuru wa kujieleza hamna...

Uhuru wa kujieleza nini???kwamba wewe ni shoga au uhuru binafsi gani mtz anaoutaka!!!

Maendeleo finyu,yah yaweza kuwa finyu kwa viwango vyovyote,ila ila sio kuishi maisha mabovu kama ya kibera,hivi wale ni watu wanaishi pale!!!!
 
Mkoa wa RUKWA na akili only in bongo
BAGAMOYO bwaga moyo
uMBEYA town
Mtanzania ARUSHA kinyesi
TANGAtanga kila mahali
Daresalaam pron. Tho.DAR ISSLUM
Na kadhalika

Akili zako zinakusaidia kujua wakati wa kula na kwenda chooni basi.
 
Nimekutupia mahindi ukayameza...wewe ni jinga tu ya mtu kumbe wivu ndio huwa unakusumbua hadi ikafikia kuijua miji yote ya Kenya.
Ahahahhahahahahha😂😂😂😂😂 usijiteteee ndugu sisi ni wabongo usifkiri sisi ni nigerians mutawadanganya kwasababu wako km 10000 kutoka hapa
 
Back
Top Bottom