Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,953
- 27,939
Now that qualifies Arusha over Mwanza?Tourism hub,hotels, restaurants ,casinos, clubs,shopping centres kibao,muingiliano wa wageni wengi,real estate na mazingira yake asilia panavutia sana
Now that qualifies Arusha over Mwanza?Tourism hub,hotels, restaurants ,casinos, clubs,shopping centres kibao,muingiliano wa wageni wengi,real estate na mazingira yake asilia panavutia sana
Mwanza is our sec largest city Arusha sio mji mkubwa kama mwanza lakin unavitu vingi vyakijanjaNow that qualifies Arusha over Mwanza?
Bora asingetaja Rongai😂😂Jina tu linatisha😂😂Huyu jamaa atakuwa anaishi Rongai😂😂😂😂😂
Waondoeni...... Mnachongoja ni kipi
Rongai inatishaKumbe Nairobi yote ni Kibera style
View attachment 924009View attachment 924010View attachment 924011View attachment 924012


huna jambo eti wakenya wanaroho nzuri kuliko watz
Hatuna roho mbaya ya kishetani kama yenyu ya kinafiki.
ndoto za mchana mchana😂😂😂👏👏👏👏Kama Kisumu inachapa Mwanza, what about Arusha?
but no taxi baiskeli in mwanza what about kisumu a city with taxi baiskeli how do u feel😂😂😂😂👏👏👏👏👇👇👇First, I have never seen a thread of Kisumu vs either Mwanza or Arusha. Second, if the word overrated is anything to go by then I'm returning it to you. There is no overrated town in Tz like Mwanza.
waambie watoe hio bandari alaf uone mombasa inabaki na nini😂😂😂 yani hakuna maendeleo mombasa ni mji ulionza kujengwa enzi na enzi lakini hakuna kimoja chenye maana 😂😂😂😂Mwanza and kisumu are overrated
Serious towns like Dar, Nbo ndio tuko nazo napea sec vote kwa Arusha na mombasa japo kimaendeleo mombasa imeacha chuga
Ni ukweliPovuuuhuna jambo eti wakenya wanaroho nzuri kuliko watz
hamuna roho mbaya ya kishetani lakini munauwana nyinyi kwa nyinyi nikuletee ushahidiHatuna roho mbaya ya kishetani kama yenyu ya kinafiki.
kisumu ina qualifies gani kua city??? and what about mombasa ukitoa port ambayo tayari mushatangaza kuiuza kisa madeni yametengeneza funza matakoni???😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏Now that qualifies Arusha over Mwanza?
anakwambia hawana roho mbaya lakini ukatili wakuuwana wao kwa wao hilo sio jambo la kishetani kwao😂😂😂 tribalism pekee tu ni ushetani achilia mbali kuuwanaPovuuuhuna jambo eti wakenya wanaroho nzuri kuliko watz



kweli wewe haujawahi toka nje ya kenya wacha nikuache
Ni ukweli


anakwambia hawana roho mbaya lakini ukatili wakuuwana wao kwa wao hilo sio jambo la kishetani kwaotribalism pekee tu ni ushetani achilia mbali kuuwana
ahahahhaha vigaranga mliotujazia sumu na magonjwa alaf tukubali watu wetu kufa haitawezekana kwa hilo, tribalism pekee ni laana achilia mbali kuuwana unalijua hilo😂😂😂😂💉💉💉💉Ushahidi wa 2007 ndio Mr wowowo unataka kutuletea?
Wachoma vifaranga. Nyinyi ni hayawani wallahi. Mnaweza teketeza viumbe vyenye uhai kama hivyo halafu mnajifanya humu vile nyie ni watakatifu.hao vifaranga si walisikia uchungu jamani! Hayatafariki