Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua Pipeline ni kubwa kuliko Dar slum yenu?.......ona sasaaa...View attachment 922001View attachment 922003
Msifanye hivi. Yaani unalinganisha Dar is Slum nzima against Eastlando!?
Eastlando is getting super upgrades daily. Remember Outer ring Road opened up for investments and now development of missing link roads.
IMG_20181102_092008.jpg
 
Kwakuwa mmesema hao ni wabongo kauli yetu kubwa kutoka kwa mkuu wa nchi presidaa Magufuli ni muwaondoe hao ......kwanini mnakaa nao wakati si raia wa kenya na hawapo kisheria maana ukija huku Dar hao watu hawaonekani na ukiwaona ni mmoja mmoja
Watu kama nyie ndiye mnawatumia vibaya. Mnazembea kazini mtafutiwe hela na wakenya na hizo hela mnachukua kwa njia isiyo halali.kutumia viumbe wasiojiweza. Si sawa
 
ati largest in eastern and central nini. Alafu mlifika 7M passengers siku gani
Julius Nyerere International Airport Terminal 3 now 85% complete, capacity 7ml annual Passengers,
Will make JNIA The Largest and Modern Airport in East and Central Africa with capacity of 10mn pax

This Good Job is done by BAM international , from Netherlands,
Lesson: Do not give Chinese all your projects.

View attachment 921836View attachment 921837View attachment 921838View attachment 921839View attachment 921840View attachment 921841View attachment 921842View attachment 921843
 
Nmewah kutana nao baadhi huja kutanua tu na kubadili mazingira,wengine ni wafanyabiashara wa vitunguu na mazao kama mahindi nk huja kulangua wanasafirisha,jamaa wanajua biashara na kutanua kwelikweli na kingereza mob
na kula bata ,mimi ni fan wa A Town
 
Wanaonekana mmoja mmoja dar maanake nyie ni wabahili sana. Hamwezi saidia maskini wenu. Hapa Kenya wanapewa hela ambazo zinachukuliwa na wale wanaowatuma. You are the biggest beggars exporter
Mtapata tabu....sana """swali ni moja tu kama hao ni WATZ kwanini msiwafukuze ili warudi makwao?...
 
Back
Top Bottom