tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Hv Hamna namna yakuwarudisha kwao au mnajiweza sanahawa wenzenu mnawajia lini😀😀
Hv Hamna namna yakuwarudisha kwao au mnajiweza sanahawa wenzenu mnawajia lini😀😀
Miundombinu?
hao ni wakenya sasa wanaogopa mzungu asikie kua ni wakenya wanadanganya kua ni watanzania😂😂😂😂Hv Hamna namna yakuwarudisha kwao au mnajiweza sana
mbona mukiwakamata ethiopians na wasudan munawarudisha kwao😂😂😂😂Na watu huuliza kwa nini Kenya hubarikiwa licha ya kuwa na mapungufu kibao.Ni wakarimu sana
No paved roads! Smh!
Hata @mulisaa ?Old is gold. And for your own information am not interested in LDC dwellers. Go get a life you psychopath

Kumbe kisii ni city ?i was in kisii 3 weeks ago and i love that city............
Hhhhh!!watu kenya hujenga makwao...mjini ni mazingira ya kufanyia kazi kw wengi...na ukitaka kununua nyymba mjini kenya hujisumbui..apartments na estates ziko nyingi sana mijini..Yes ndo sehem mnapoweza kununua ardhi. Hata Tanzania vijijini zipo hizo nyum a.
Kwn ni uongo...dar iko mbele ya mombasa kw towers pekeakeHujui usemalo ,nakusamehe bure
Mda ndio utasemaDar kwa upande wa barabara Mombasa itasubiri sana, project Za barabara ni nyingi mno...suburbs mpya karibu zote zinaunganishwa na kwa barabara za lami ,zile zilizochoka zinafumiliwa wanaweka mpya. ..DMDP Pekee wanaproject ya zaidi ya 250km achilia mbali project zingine...Mombasa haitakaa iweze Dar
Hhhhh!!!kwhyo nime edit sioJangwani hakuna ivo vibanda umiza tena
Hhhhh!!watu kenya hujenga makwao...mjini ni mazingira ya kufanyia kazi kw wengi...na ukitaka kununua nyymba mjini kenya hujisumbui..apartments na estates ziko nyingi sana mijini..
Unanua lkn kwenu bado una kiwanja na unainua mjengo unaoutaka wewe likizo ni kwenda na kula bata tu
Umeshindwa na mada ..

Kibera vs 3/4 of darYani mumemzidi shetani tabiaShetani mwenyewe kawahamshia mikono kwa maisha mnayoishi hapo Nairobi
View attachment 922778View attachment 922780View attachment 922781View attachment 922782View attachment 922783View attachment 922784View attachment 922785View attachment 922787Banda la Mbwa wa Dar es salaam
View attachment 922789

Nairobi's population: 3.5 millionKibera vs 3/4 of dar![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()