Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Says the citizen Tanzania. Another breeding ground for inferiority complex.
ahahah ukweli hua hamupendi kuna mjinga mmoja alinambia hio 2017 anataka 2017 nikamwambia 2018 bado haijawa matured 😂😂😂😂👏👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

74 vs 52

4.7% growing economy vs 7.2% growing economy akili kichwani mwako
 
Sasa unaleta Render tufanyie nini. Bring the real thing.View attachment 923399
1541506635236.png
 
2018 inaisha na already statistics zinaonesha kenya iko 85+bln na Tz bado 50s. wacha tungoje official release tuone. Kazi yangu itakuwa kutuma emojis za kucheka kama kawa.
ahahah ukweli hua hamupendi kuna mjinga mmoja alinambia hio 2017 anataka 2017 nikamwambia 2018 bado haijawa matured

74 vs 52

4.7% growing economy vs 7.2% growing economy akili kichwani mwako
 
2018 inaisha na already statistics zinaonesha kenya iko 85+bln na Tz bado 50s. wacha tungoje official release tuone. Kazi yangu itakuwa kutuma emojis za kucheka kama kawa.
inaisha na haijaisha 😂😂😂👏👏👏 inaisha maana yake bado haijaisha ukhekheheh uzi umewabana dunia ya leo hata mtoto wa miaka miwili himdanganyi😆😆😆

74 vs 52 kazi imeanza sasa 👏👏👏👏👏

4.7% vs 7.2% ngoja tuone
 
Yaani wewe tokea juzi umekazana ooh harminize anaringa.....mtu kama anamaringo ni yeye binafsi wewe inakuuma nini....

Halafu nawasiwasi na wewe itakuwa unamtaka mshikaji sema tatizo haupo kwenye level hizo upo level za chini halafu nikijina lakini kimuonekano umezeeka
Old is gold. And for your own information am not interested in LDC dwellers. Go get a life you psychopath
 
Back
Top Bottom