saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
Wakenya acheni ujinga. Nani mtamfanganya kwamba Kenya mmejenga kuliko Dar? Wadanganyeni wasiofika Kenya Nairobi inasifa hii.
Kwanza ......chafu
Pili.....Haina ubunifu msongamano Wa ajabu sana mnatumia old model matatu ya hovyo magari ya hovyo.
Jamu kubwa sana Nairobi mpaka karaha.
Uchafu yaani nenda Uhuru park round about zake utakuta uchafu kila sehemu.
Hakuna jengo lenye ghorofa 45 Kenya hakuna.
Wanasifia saana kuhusu flying over barabara ambazo nonsense ikiwa hamtoi Yale matatu ukiyaona uchafu mtupu.
Angalia kuhusu mawasiliano ovyoo sana.
Kenya bado sana mno
hizi ndio round about mbili zenye ziko karibu na uhuru park...tuonyeshe uo uchafu uko wapi apo?