Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

fukuzeni hao ila 100% hao ni ndugu zenu tena wazawa wa kikenya msiwafanyie ubaya kwani hao ombaomba ni ndugu zenu
Namnakuwa na ombaomba wengi kwenye city zenu sababu mnajopo kubwa sana la wananchi wasio na ajira hivyo lazima mproduce ombaomba namachokoraa wakutosha
Kuna operesheni ya kuwarudisha hasa wale walio Nakuru
 
Mtapata tabu....sana """swali ni moja tu kama hao ni WATZ kwanini msiwafukuze ili warudi makwao?...
Hawa ndio unasema wanapatikana mmoja mmoja dar. Hapa ni tz na hamna wa kuwapa hela.
FB_IMG_15414174268417929.jpg
 
fukuzeni hao ila 100% hao ni ndugu zenu tena wazawa wa kikenya msiwafanyie ubaya kwani hao ombaomba ni ndugu zenu
Namnakuwa na ombaomba wengi kwenye city zenu sababu mnajopo kubwa sana la wananchi wasio na ajira hivyo lazima mproduce ombaomba namachokoraa wakutosha
You guys are always in denial but this won't change the fact that 56.9 of your total population live in abject poverty
 
Hauoni hizo ni sura zakikenya na isitoshe inaonekana washawehuka kulingana na hali ngumu ya maisha ya taifa lao la kenya.....

Sio siri naomba mungu uwapiganie zaidi wakenya wote kwani mpaka chozi limenitoka mnamaisha mabaya sana chaajabu mnafake life
Hawa ndio unasema wanapatikana mmoja mmoja dar. Hapa ni tz na hamna wa kuwapa hela.
View attachment 922138
 
Hauoni hizo ni sura zakikenya na isitoshe inaonekana washawehuka kulingana na hali ngumu ya maisha ya taifa lao la kenya.....

Sio siri naomba mungu uwapiganie zaidi wakenya wote kwani mpaka chozi limenitoka mnamaisha mabaya sana chaajabu mnafake life
Wewe ni kijinga sana na usiambie MTU. Nimekwambia hapo ni Tanzania si Kenya #jingatype.
 
Wanaonekana mmoja mmoja dar maanake nyie ni wabahili sana. Hamwezi saidia maskini wenu. Hapa Kenya wanapewa hela ambazo zinachukuliwa na wale wanaowatuma. You are the biggest beggars exporter
Hii argument ya Omba Omba wa Kenya ni wametoka Tz ni ya kipuuzi sana, ni nchi gani inakaa na illegal immigrants bila kuwadeport? Wezi wenu sisi huwa tunawarudishia baada ya kula mvua zao jela
 
Back
Top Bottom