Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


8065845_x1_jpegec447ded5dbc14ab487c0eff5275d46b

8065846_x2_jpeg4c8e41fdf03800ec34d3406343d7d348

8065847_x3_jpeg867ab08405bcb1840afe2d75fafd4b78
 
Habari wakuu,
Tuna kila sababu sisi watanzania kumshukuru Mungu na kutoa fungu la Kumi kwa Kutupatia Rais Magufuli,
Mataifa mengi yanatamani sana kuwa na kiongozi anayefanya ambayo magufuli anafanya lakin wameshindwa,

Kwa haraka haraka ranking ya utendaji Afrika inamuweka Rais Magufuli nafasi ya kwanza,

Na kwa africa mashariki anayefuata ni Kagame ambaye kwa Africa ameshika nafasi ya 4,

Mnangagwa kashika nafasi ya 5 , wakati Uhuru Kenyata akiwa nafasi ya 17

https://www.africaranks.com/forums/presidents.6/
kisha mumeshinda kikombe au??
 
Back
Top Bottom