Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijamcheka kinafiki .Nimemcheka sababu sijawahi ona mwanaume anaringa kisa anakula chips. Halafu nimeongea kuhusu mafuta si kuhusunyama.mafuta hayawekwi chol. siku hizi.I said maybe he doesn't exercise after consuming these kin
Kwani chips sio chakula??..niliona post moja ya mkenya eti "male food".."male food"?????..hivi ni shule gani iliyowafundisha hii "male food"!!..mchina hakukosea kuwaita nyani kwa sababu aliona hamuwezi kufikiri vizuri..very sorry!!
 
Kwani chips sio chakula??..niliona post moja ya mkenya eti "male food".."male food"?????..hivi ni shule gani iliyowafundisha hii "male food"!!..mchina hakukosea kuwaita nyani kwa sababu aliona hamuwezi kufikiri vizuri..very sorry!!
Nani amekununulia bundles ukaja kututukana kama kawa?
 
Nani amekununulia bundles ukaja kututukana kama kawa?
Nyie ni nyani,sijawatukana,ni fact!!...unadharau chips??..unajua wakulima wanapata shida kiasi gani kuzalisha viazi??..eti chips ni kwa ajili ya wanawake tu...dah wakenya kweli ni hollow heads!
 
Nyie ni nyani,sijawatukana,ni fact!!...unadharau chips??..unajua wakulima wanapata shida kiasi gani kuzalisha viazi??..eti chips ni kwa ajili ya wanawake tu...dah wakenya kweli ni hollow heads!
hawashangai huyo mume wao mwenyewe trump anakula chipsi na anawapa matako warambe bogus hawa alaf wanakuja kuongea upuuzi 😂😂😂😂😂
 
Nyie ni nyani,sijawatukana,ni fact!!...unadharau chips??..unajua wakulima wanapata shida kiasi gani kuzalisha viazi??..eti chips ni kwa ajili ya wanawake tu...dah wakenya kweli ni hollow heads!
What a mongoloid! Wapi nilisema chipoo ni za wanawake pekee? Nionyeshe ASAP
 
This is westlands alone, better than your CBDView attachment 916728

Hapo ni Upper hill na Westlands zipo Pamoja

Tower hizo huko nyuma zote ni Upper Hill, Sijui hizi kelele za kufananisha Construction site na Dar nzima inatoka wapi.

IMG_5413.JPG
 
What a mongoloid! Wapi nilisema chipoo ni za wanawake pekee? Nionyeshe ASAP
Kwa nini unamkashifu icho kwa sababu anakula chips???..kumbe huwa mnaposti vitu msivyovielewa??..napata shida kama wewe kweli mwanamke jinsi unavyolea watoto wako,napata picha jinsi jamii ya wakenya ilivyo..!!
 
Kwa nini unamkashifu icho kwa sababu anakula chips???..kumbe huwa mnaposti vitu msivyovielewa??..napata shida kama wewe kweli mwanamke jinsi unavyolea watoto wako,napata picha jinsi jamii ya wakenya ilivyo..!!
Nikome.hata wewe de Lucy inafaa ukashifiwe sana kwa sababu unaringa baada ya kusambaziwa bundles na mkeo.unakuja kutusi wakenya utakavyo. Huu ujinga mtaacha. Si mtakuja kupost hadi kinyesi chenu humu
 
Acha kupindisha mada, ardhi ndio rasilimali mama ya nchi yoyote ile duniani, ndio uti wa mgongo wa maendeleo ya nchi, ndio urithi asilia wa nchi, lazima iwe ni Mali ya watu wote chini ya usimamizi wa serikali.
Mbna basi ardhi hko kwenu km kila mtu ana haki ya kumiliki...mbna serikali haiwagawii..na bado ikamkodishia dangote km ilivyokukodishia wewe...yani wewe na raia wa nje mko level moja...mnalease ardhi kw serikali for 99 years..hhhhh!!!nimecheka sana...

Ardhi ni ya serikali..na serikali.ni sisi wananchi...yani nyumba yako uilipie kodi...hta afadhali hya yakwetu kumbe yan nafuu..ukoloni mamboleo
 
Hahahaaa,km mkikuyu ampendi mjaluo na mjaluo ampendi mkikuyu nyie mungiki ndio mtawapenda Watanzania,anzeni kupendana wenyewe kwanza kwenye nchi yenu nyang'au
Hhhh!!!basi jomo asingeoa mjaluo..rudi kw babu ukamuulize mbna ile hadithi ya ukabila kenya siilewi...wajaluo wasomali wakisii wakikuyu wakamba wote wanaoana......labda atafufuka na kukwambia na kukwambia hzo ni propaganda mjukuu wangu wakenya wana roho mbaya ni wakabila sana..
 
Ni aibu sana mwanaume kujigamba kisa anakula chipsi kama chajio halafu anashirikiana na wenzake kututusi nyani kwa sababu amekashifiwa. sasa mnatutukana nyani sababu ya chipsi? Mnatia huruma kwe
 
Back
Top Bottom