Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

85679a201a208f1645f3beec5e11dcaf.jpg
bfff262774563034af9aa292ceda5f0d.gif
.
Miradi mikubwa kama huu kwa Kawe city umesimama na ulikuwa umeshaanza na wa kigamboni city nao haueleweki umeishia wapi.
 
Nairobi is such a vibrant and diverse city. Just as our matatu graffiti culture Our street graffiti culture is strong too.
graffiti1.jpg
graf 1.jpg
graf 2.jpg
graf 3.jpg
graf 4.jpg
graf 5.jpg
graf 6.jpg
graf 7.jpg
graf 8.jpg
 
Matano hayafiki bana acha kuniibia basi,sikia walker,tunatazamia mengi kama ninyi, gap lililokuepo tumeshalipinguza sana kwa ukaribu,JPM atamaliza muhula wa kwanza FLYOVERS ,SGR, HIGHWAY Zime-tally ....issue ya maghorofa haitakua issue ya msingi kipindi icho!!

Ni matano na hii ni baada ya wenzako kuzua tuondoe Golf Course Hotel and the two Delta Towers. Ama nikupe list tena uangalie?
 
Kwikwikwiiiii naipenda dar lkn hatuifikii nairob kwa kwel,,, Nairob inashka nafac ya tatu kwa mij bora afrika lkn dar ya nane tena tupewa nafac hyo kwa kuw ni mji unaokua kwa kas sana ko bado washkaj tuendelee kuukuza
mtafungua accounts nyingi sana safari hiiiiiiiiiii😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 mambo yamekua tyt sana🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
85679a201a208f1645f3beec5e11dcaf.jpg
bfff262774563034af9aa292ceda5f0d.gif
.
Miradi mikubwa kama huu kwa Kawe city umesimama na ulikuwa umeshaanza na wa kigamboni city nao haueleweki umeishia wapi.
aliekwambia umesmama ni nani???? au nioneshe mradi uliosmama unaongea tu kujifurahisha nafsi yako au??? ongea kitu ukiwa na facts uliza ujibiwe
 
Kwikwikwiiiii naipenda dar lkn hatuifikii nairob kwa kwel,,, Nairob inashka nafac ya tatu kwa mij bora afrika lkn dar ya nane tena tupewa nafac hyo kwa kuw ni mji unaokua kwa kas sana ko bado washkaj tuendelee kuukuza
kek
 
Back
Top Bottom