bongo
[/QUOT![]()
Bonge la view Dar es salaam tamu sana , Nairobi a.k.a city ya minara wapo nyuma sana
bongo
[/QUOT![]()
Bonge la view Dar es salaam tamu sana , Nairobi a.k.a city ya minara wapo nyuma sana
Mnatuzidi na mangapi
Mnamaneno mengi sana nyie?kama ni ujenzi ata Dar upo hakuna anaewasubiri
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hakuna mliyo tushinda hapoSo far tumewazidi na tano. Toa hizo mbili unazoclaim hazijakamilika alafu uniambia tutakua tumewazidi na ngapi?
Unauhuru wakuchangiaKwikwikwiiiii naipenda dar lkn hatuifikii nairob kwa kwel,,, Nairob inashka nafac ya tatu kwa mij bora afrika lkn dar ya nane tena tupewa nafac hyo kwa kuw ni mji unaokua kwa kas sana ko bado washkaj tuendelee kuukuza
Matano hayafiki bana acha kuniibia basi,sikia walker,tunatazamia mengi kama ninyi, gap lililokuepo tumeshalipinguza sana kwa ukaribu,JPM atamaliza muhula wa kwanza FLYOVERS ,SGR, HIGHWAY Zime-tally ....issue ya maghorofa haitakua issue ya msingi kipindi icho!!So far tumewazidi na tano. Toa hizo mbili unazoclaim hazijakamilika alafu uniambia tutakua tumewazidi na ngapi?
Muda si mwingi serikali itapunguza kasi ya kuijenga DSM na kuelekeza nguvu makao makuu Dodoma.NAOTA.Matano hayafiki bana acha kuniibia basi,sikia walker,tunatazamia mengi kama ninyi, gap lililokuepo tumeshalipinguza sana kwa ukaribu,JPM atamaliza muhula wa kwanza FLYOVERS ,SGR, HIGHWAY Zime-tally ....issue ya maghorofa haitakua issue ya msingi kipindi icho!!
Budjet ya dodoma haitaiathiri Dar kivile 7bu bado Dar ndio mji mkubwa lazima wauboreshe,wanajenga SGR ili iwe rahisi kurudi town kula vinono!!dodoma vikao b bunge vikiisha wanarudi Dar wote, hadi dodoma wainvest uwe mji uliokomaa ni muda mrefu sana mbeleMuda si mwingi serikali itapunguza kasi ya kuijenga DSM na kuelekeza nguvu makao makuu Dodoma.NAOTA.
Muda si mwingi serikali itapunguza kasi ya kuijenga DSM na kuelekeza nguvu makao makuu Dodoma.NAOTA.