komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Bei ya kawaida sana hyo..mbna hyo per month umeiandika mwnywe
Bei ya kawaida sana hyo..mbna hyo per month umeiandika mwnywe
Nilikuwa huko nai last year but Ubungo intersection flyover is next level even if the project is not yet accomplishedNipo nai
sasa niletee ya 5000usd kwa nyali nasubiri wala usihangaike kutafuta 20000 usd wenzako hata nairobi walikosa 😂😂😂 ndo maana nakwambia ww umedandia treni kwa mbele waulize wenzioBei ya kawaida sana hyo..mbna hyo per month umeiandika mwnywe
Nakwambia hyo bei ya kawaida...sana..ila natka unisiandike mwnywe hyo per month...ama nipe link niangalie mwnywe hyo per...siez shutka na bei manake ni ya kawaida sanasasa niletee ya 5000usd kwa nyali nasubiri wala usihangaike kutafuta 20000 usd wenzako hata nairobi walikosando maana nakwambia ww umedandia treni kwa mbele waulize wenzio
Leta jibu hapa...ndio au laakwa vile naivasha hakuna gavana sawa![]()
Nasubiria hyo link ya per month brotherwakenya kama tunavojua leo ni sato ni siku ya kula bata mpaka kuku anaona wivu so welcome all tutafutane baadae![]()
Unajua nini, never mind, huwa sikuelewi anywayNieleweshe basi
Bro..we endelea na busara zako za kawaidaUnajua nini, never mind, huwa sikuelewi anyway
indeed sounds goodBro..we endelea na busara zako za kawaida
Upanga ni east na west izo south na north umezileta weweUnajua nyie na ngano za kujitungia Hamna mpinzani. Najua mzizima tower pekee. Najua upanga East, west,south andupanga north ziko upande gani?
Hakuna wa kuninyamazishaona, ulinyamazishwa hapa asubui,,, you should be hiding your face by now
kwan nairobi sio city??? unaposema dar city ukubwa wake ni 1600km sq na unaposema nairobi city ukubwa wake 696km sq na nusu ya 696 km sq ni porialaf munataka kajiadoo county na machakos iwe nairobi munawaza mambo makubwa madogo yanawakamua mikojo

it's b'se hayo ndio maeneo yenye wakenya wasomi walioenda vyuo vikuu kusomea ujinga katika civil engineering.Hata hapa Kenya hutawahi sikia nyumba imeporomoka Turkana ama Marsabit. Utasikia Nairobi, Mombasa n.k. Food for thought.


Wewe unauwezo wa kulipa kodi hizi?yani kwa mwezi mmoja tu View attachment 912914Nasubiria hyo link ya per month brother
I know about upanga East. It has unplanned settlements and also a Buddhist Temple (this explains why a lot of Tanzanians here don't fear God. Some are even oblivious of His existence)Upanga ni east na west izo south na north umezileta wewe
Leta za 2018 basi...Hii $570,045 hii ni 6yrs agoView attachment 912923View attachment 912924
Kuna jambo unataka kulisema. Say it already. No need to beat around the bushNilikuwa huko nai last year but Ubungo intersection flyover is next level even if the project is not yet accomplished