Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna cha westlmafi upper kichuguu wala kilimani Nbo Ni kelele ndio wanaweza ,kila siku hapa wanapost nyumba hazijakamilika sasa huo nao ni Mji wakupigia debe
 
Ukiona jinsi Embassy ya Tz ya Nairobi inavyokaa huwezi ongea unavyoongea sahii.😀😀😀
unajua kwanini kwasababu tanzania haina mpango sana na kenya ndio maana hua shughuli nyingi zinazohusiana na wakenya zinapuuzwa sana serious am telling you😀😀😀😀😀😀
 
US embassy in tanzania
1540193199627.png
 
Naona mtu aanzishe thread humu ya Nairobi without CBD, Upper hill and Westlands v Dar without CBD, Kariakor and Upanga ndio kieleweke. Hapo ndio watajua Dar Hamna kitu.

Hariri andiko lako kabla hujapost,hiyo battle unayoomba nairobi itabaki uchi sana,tunaweza ruhus hata kwa nai muweke cbd.
 
unajua kwanini kwasababu tanzania haina mpango sana na kenya ndio maana hua shughuli nyingi zinazohusiana na wakenya zinapuuzwa sana serious am telling you😀😀😀😀😀😀

Anataka tupeteze hela kwenye hamna.
 
Mwengine anapost picha ya Embassy ya US na tunaongelea ya Tz. Kweli kukosa akili ni kitu mbaya.😀😀😀😀
 
Ebu niambie Dat kuna mini outside Posta, Upanga, Dirty Kariakoo na Kigamboni bridge?
unachagua siraha nugu!!!!!,si umesema without CBD,mimi ningetoa posta kwa list halafu nikuruhusu ulete nairobi nzima.
tukiwaambia bado hamuwezi mnapanick.
 
Back
Top Bottom