Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kilaza kama the 3 blue towers haziko posta ziko dar haswa View attachment 906442

nakupa sasa picha ya posta alaf pima mwenyewe kwenye mizani unaiweza au laa
8a2e332c-5a7a-4065-953f-1fe331cbdc3a.jpg
91b84f61-0377-4115-bb6b-62193995ab2f.jpg
 
Wakati huo huo bullet train zitakua zinatema cheche bila kusahau JNIA T3 matumizi yatakua yameiva
Si nilidhani mnahenga SGR na sio HSRhawaa kondoo wa ccm ni wakuhurumiwa ati bullet train
 
The world knows that dar residents live in unplanned settlements. That's what I saw when I googled about dar for the first time.
When I googled suburbs in Africa
South Africa &
Kenya .
 
Mwanyamala nini?
Ni mtaa uko karibu na kijitonyama upande wa westy,kijitonyama pako planned nmeishi apo napafaham ,tena ziko kijitonyama mbili moja imejaa zaidi makazi ya watu na iyo ambayo ndio wanaidevelop kwa office buildings
Kwa mtu anaepahafam atakushangaa sana ukisema kijitonyama kuna slum
 
Johannesburg hushtua Tanzanians sana....sisi tunaionanga tu kama Nairobi. That's why mnaacha Jacuzzi ya upanga kwenda kuimbia kwa hoteli joburg hahaha
Ukwel unaujua, lakini pia tunaipenda Dar yetu sana tu
 
Back
Top Bottom