tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Westy haina tofauti na Upanga Posta imeburuza CBD yenu + upper hill naona mnaificha
Westy haina tofauti na Upanga Posta imeburuza CBD yenu + upper hill naona mnaificha
Uje ulinganishe na whole darWestland Vs dar yaani Hadi raha venue dar inapumulia kwa mashine pale mhumbiliView attachment 906141View attachment 906142
Jozi cbd is dead hakuna project ata mojainaendelea their only hope ni Sandton ni no ndogo Sana ,but currently ndio iko na the tallest building in Africa the Leonardo![]()
![]()
sikilizeni hawa ,hii ni ugonjwa gani wanaugua
TumewabanaSisi ndiyo tunaona elimu na akili zenu zilivyo mbovu na ndogo trust me kuna zaidi ya watanzania z 2000 members wa hapa jf na wengine zaidi ya 50,000 hufuatilia huu uzi nakuona jinsi WAKENYA/NYANI mlivyo vilaza hasa hasa sijui MWASSAT,KOMORA,HAMSTER,JANEROSE,WEWE,MK15 etc.



majengo ya 10 - 13flrs????Yani density ya Dar ***** .. Napata picha kila jengo la Kariakoo lingekuwa na thread skyscraper city.. Aiseh... Unjaua hamna hata jengo moja la kkoo au Upanga limekuwa posted SSC
Bro Jozi iko develeped kwenye kila idara ,barabara, reli,airport, nyumba bado sana kuwafikia labda wasimame miaka 300Jozi cbd is dead hakuna project ata mojainaendelea their only hope ni Sandton ni no ndogo Sana ,but currently ndio iko na the tallest building in Africa the LeonardoView attachment 906426View attachment 906427View attachment 906428
Hii hapa hakuna cha kupambana majengo kumi nyuma uswazi
Wacha kulialiaNaona una commands kichiz.. Hiv are u a girl.. Kama u are nngependa kupata ur no.. Kenyan girls are wild on bed....
U/c sizijui nyng ila ntaziweka kumbuka kariakoo inajengwa ghorofa kila siku .. niweke na T/O au nisiweke ?


We Acha Julia lua nimekushika pabayapicha zako hazitoki kwenye target moja ndio maana hua tunakwambia kushindana na dar ni sawa na kukimbiza kivuli chako![]()
Nipee Tu slum moja westy alafu unitag ukipata....na ukipata nahama jamii forumWestland pekee ina slum zaidi ya 10![]()
Mwanyamala nini?Mwananyamala hoyee
Bet ilijengwa 2015 wacha kulia liakwan ile munapost ya dar ni ya miaka mingap imepitaso unataka kutuambia ile sio nairobi CBD
Johannesburg hushtua Tanzanians sana....sisi tunaionanga tu kama Nairobi. That's why mnaacha Jacuzzi ya upanga kwenda kuimbia kwa hoteli joburg hahahaBro Jozi iko develeped kwenye kila idara ,barabara, reli,airport, nyumba bado sana kuwafikia labda wasimame miaka 300
Kilaza kama the 3 blue towers haziko posta ziko dar haswakwa akili yako unaona hapo posta umemaliza ziko wapi BOT twin towers??? posta itakutoa shipa we kilaza sio size yako kabisa![]()
LolBet ilijengwa 2015 wacha kulia liaView attachment 906440
Nipee Tu slum moja westy alafu unitag ukipata....na ukipata nahama jamii forum





Uchafu hadi raha...watasema hapa si posts ni Abidjan west Africakwa akili yako unaona hapo posta umemaliza ziko wapi BOT twin towers??? posta itakutoa shipa we kilaza sio size yako kabisa![]()



Bet ilijengwa 2015 wacha kulia liaView attachment 906440
Hapo Hilo jengo ni wakulima eco residence yaani Nhc imejaa vilaza ghorofa katikati ya slumhaya twambie hapo upanga sasa![]()