Lewis254
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 8,297
- 3,648
nilizitumia kitambo na siwezi rudi huko tenaYeye mwenyewe unatumia, yaani anazikubali.
nilizitumia kitambo na siwezi rudi huko tenaYeye mwenyewe unatumia, yaani anazikubali.
Remind them that even that pitch they see isn't in Europe, but here in Tzcurrently azam tv from tanzania is the first and only television in east and central africa that uses state of the art 3d virtual sports enhancements during football analysis.
it's a fact, but for monkeys it's something they won't agree with it,will attempt to come up with mere words in order to dispute it.
images below were captured today during a football derby between simba vs yanga.
View attachment 882669View attachment 882670View attachment 882672View attachment 882673View attachment 882674
Mkisikia suburbs za dar huwa mnaleta kibera.Is kibera a suburb in dar? Makinika tafadhaliNairobi Suburbs
View attachment 882677
Hizi ni za dar?
Nitakuja kutembea. Inshallah.Tunasema Dodoma ni jiji lakini unapokaribia kuingia mjini maeneo kama Ipagala unakutana na vinyumba vya tope kitu ambacho huenda hata wageni kinawashangaza sana.
Kibaya zaidi maeneo yenyewe yanaonekana hayajapimwa na hivyo kutoa picha mbaya kwa linaloitwa jiji.
Mfano mwingine ni uwanja wa ndege uliopo hapa Dodoma ambao ni mdogo lakini hauko busy ndege za kuhesabu sasa huo mkubwa utaojengwa huko Msalato si ajabu nao ukawa idle tu muda mwingi.
Kwa mtazamo wangu,kuna kazi kubwa sana kuifanya Dodoma ionekane ni Jiji na kuna gharama kubwa sana ya kuibadilisha Dodoma.
It's nice though kiambu and nairobi are far ahead when it comes to suburbs
Heheee!!hicho kitu kinabeba 14 passengers..alafu cheki hzo graffiti wewe wacha hasiraSasa huu ndio uchafu wenyewe,
Enzi hizo tulikuwa tunaita Vipanya
Can't register a PSV carrying 8 passengers in city halafu tutegemee kuepuka JAM, labda uwe Taxi.
These things won't be allowed in Tz Roads
Wakenya mko nyuma sana kwenye Mambo ya Mass Transit.
Duh!!umepagawa nini...tena kijijini aisee..Eti hichi pia ni kibridge kenya vituko haviishi View attachment 882630View attachment 882631
Upanga ipo dar?Sista masufuri hizi ni apartments ziko Upanga View attachment 882705
Matatu culture bro imeajiri vijana wengi sana...unafkiria graffiti ni ngapi how much wewe
naona wame google mpaka wamechoka so wameona ni heri tu wapite kimyakimya.Remind them that even that pitch they see isn't in Europe, but here in Tz
Huenda hata hawaelewi.



Duh!!hzo nyumba za vipaa vya kufanana si ni low quality sana aisee
Modern mass transit remains the most efficient and effective way, you need to move out of that.Matatu culture bro imeajiri vijana wengi sana...unafkiria graffiti ni ngapi how much wewe
Huu ni uchafu tuHeheee!!hicho kitu kinabeba 14 passengers..alafu cheki hzo graffiti wewe wacha hasira
ndiyoUpanga ipo dar?
mimi na wewe nani kapagawa!???,Duh!!umepagawa nini...tena kijijini aisee..
hata porn industry imeajiri vijana wengi sana huko ughaibuni but hiyo haiondoi ukweli kwamba career ya porn ni ya kishenzi.Matatu culture bro imeajiri vijana wengi sana...unafkiria graffiti ni ngapi how much wewe





