PowelTz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2018
- 596
- 373
Wewe ni likilaza tu umeshapewa ushahidi unaanza kuruka kama limama,sasa wewe leta hao monkey wenu ambao hawajui kuimba,,,kisha upate percentage kubwa ya hao viewers ni Wakenya 😀😀😀 about 90% haha
Wewe ni likilaza tu umeshapewa ushahidi unaanza kuruka kama limama,sasa wewe leta hao monkey wenu ambao hawajui kuimba,,,kisha upate percentage kubwa ya hao viewers ni Wakenya 😀😀😀 about 90% haha
tafuta tu utapata. inadepend na interest genre ya muziki unaopenda kuusikiliza.Nimekuambia Niletee msanii mkubwa yeyote Kenya
Mwenye Audio kabla ya mwezi ina 1m+views
Kama msanii mdogo huyu Tanzania
View attachment 882212
Jibu zuriTanzanian music in Kenya is slowly losing popularity. Siku hizi musiki wa Tz unaosikika ni Wasafi pekee na sio kama hapo nyuma.
Hehee!!vp kuhusu ule wimbo wa sauti soul wa hello..ushauchwki youtubeswala hapa si lugha ya sheng, kumbuka mziki ni universal, kuna miziki inapendwa sana duniani, imeimbwa kwa kifaransa, kilingala, kilatini, kispanish nk.
mziki wa kenya ni mbovu na ndio sababu pekee inayopelekea mziki wenu upate views na comment chache, msisingizie sheng.
your music is ugly. period.
Msanii mgani mdogo Tz ana views nyingi?Jibu zuri
Mwenzie anasema Views wengi ni Kenya
sasa kwanini wasanii wadogo Tanzania
Nje ya WCb wana Views wengi kuliko Wasanii wakubwa kenya
ikiwa Tanzania hakuna Smartphone
sasa kilio chote hicho ni cha nini? nimekwambia 90% ya viewers hapo ni Wakenya. ukubali au ukatae, sitaki kujuaWewe ni likilaza tu umeshapewa ushahidi unaanza kuruka kama limama,sasa wewe leta hao monkey wenu ambao hawajui kuimba,,,
Sasa hivi Wakenya wa Jf wengi wameibuka ni Vilaza wakutupwa Du!Heheeee!!unafkiria kenya watu akili zao zote zipo sawa km nyie...
Huez nilazimisha mm ni stream na app ya online ihali kuna youtube, na zngine nyngi tu
Huyo diamond mnayemsifia hapa...si ogopa dejays ndio ilimtoa mataani..ndo haachi kutoa shukrani kw wakenya...akili zake kw sasa si za ki ldc..thats y ana refer kenya km hz second homeKwanza hamna producer wa video ana promote kazi ya msanii. Mfano Godfather analipwa pesa ya kutengeneza video yenye quality tu kazi yake inaishia hapo. Management ya msanii ndiyo inawajibu kuisambaza na kuipromote. BTW ni expensive sana kufanya video S.A Kenyan artists inawawia vigumu.
Hahahah huyo nyashnki ni nani .....!?? sijawai kumskia kabisa kenya mimi najua tu nyimbo za sauti sol,,,basiThose musicians are no longer popular my friend. Let's speak about real popular musicians like Diamond in Tz or Nyashinski in Kenya.
Heheee!!bro wa tazara ni kilifi bridge...wakenya wangeandikwa kwa ligha ya kigeni mana wakisema daraja watashusha hadhi #faild state
Muulize watanzania amao wamekuja kenya kufanya kazi na ogopa dejayz ndio watoke giza angalau...ok. bila Kenya, your A-list celebrities are dead as a dodo. kubali tu, you need Kenya to catapult your musicians to higher levels. hata Kofi Olomide agrees to this.

Huyu hapa ni Audio ambayo hata Mwezi HainaMsanii mgani mdogo Tz ana views nyingi?
wewe mama,sasa hao viewers siwange view nyimbo za wasanii wakenya ilizipate view nyingi!??,Hao viewers wa kwangwaru 99% ni watanzania.Ujue usijue!!. ***sasa kilio chote hicho ni cha nini? nimekwambia 90% ya viewers hapo ni Wakenya. ukubali au ukatae, sitaki kujua
Waambie wasikie maana wanadhani tunazingua. Kazi yao ni kubisha tu ni kama wao ndio wanaishi Kenya. Nilishangaa mwingine akisema eti gospel tunaskiza rose muhando na akina Solomon. Hao watu walilose fame the moment the likes of mercy masika came to the picture. In secular, otile brown is rising and they are claiming he is singing their songs. Watapata taabu sana hawa.Tanzanian music in Kenya is slowly losing popularity. Siku hizi musiki wa Tz unaosikika ni Wasafi pekee na sio kama hapo nyuma.
Hahaha kwao ndio Super starHahahah huyo nyashnki ni nani .....!?? sijawai kumskia kabisa kenya mimi najua tu nyimbo za sauti sol,,,basi
Naweka matatizo chini bababanjuka tuu .where is nameless.Huyo diamond mnayemsifia hapa...si ogopa dejays ndio ilimtoa mataani..ndo haachi kutoa shukrani kw wakenya...akili zake kw sasa si za ki ldc..thats y ana refer kenya km hz second home
Kabla hujaenda kwa Diamond
Hivi unajua vidaraja kama hiki cha meter 20-200 Tz tunayo zaidi ya 900!!'?