kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
unajua internet iko fast sana huku Kenya, just a fraction of a second na nimejua kila kitu inaendelea pale youtube, comment section. ukiangalia vizuri, utapata ni Wakenya wengi wanaochangia
wakenya ni washamba.
mpo excited na mziki wa tanzania kuliko mziki wa kwenu. that's the point.
kama issue ni kuwa na fastest internet inayowapa access ya youtube, mbona video za wanamziki wenu zina views chache?
mbona kuna uchache wa comments kwenye video za wanamziki wa kenya?
kwanini views na comment za wakenya ziwe nyingi kwenye videos za watanzania tu na sio video za wakenya?.
ukitaka ushahidi nitakuletea.




