Sista Horn Kombe Masufuri
JF-Expert Member
- Sep 19, 2018
- 450
- 119
I have just seen a husband snatcher oh I mean a wretched witch somewhere.
It's no secret now. Crystal clear
It's no secret now. Crystal clear
Povu linakutoka mungiki!!Kumbe wewe ni mjinga kiasi hiki!!!![]()
![]()
![]()
![]()
yani una fikiria uzuri ama umaarufu wa media house ni news desks??, fala wa mwisho, Tanzania ni mara ya kwanza kupata media house ya standard hiyo, of which ushamba wenyu unadhihirika wazi, ni kama mwaka jana kuna mtz alileta picha za lorry za kuzoa taka za kisasa, na mwingine anaweka picha ya speed gun akisema Kenya hakuna hizo!!, things I saw in the 90s nikiwa primary!!, ndio zinafika Tz, poleni kaka, mnafika mdogo mdogo. Lakini Ichoboy1 kwa hili la Tv I didnt expect such argument from you!! Ni aibu, ulijishusha lini? Hii wachia washamba, discuss other things, I thought umeanza kufika level ya Geza, ila pia yeye ni propagandist though not always., kumbe bado!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()














Japo wote tunamaden lakin.!!!! Hawa wenzetu balaaa

asante baba Magu, endelea kupigilia misumariasante sana JPM. hatutaki ujinga round hii.
tanzania ya sasa haihitaji watu wanaokuja nchini kwetu huku wakiwa wamebeba agenda ya siri ya kuja kuua mashirika yetu.
kama kuna mtu atakuwa kaumia na uamuzi huu, akumbatie transformer ya kenya power.hapa kazi tu....povu ruksa.
View attachment 881479View attachment 881480
Haha akumbatie transfomer lol kadoda unavitukoasante sana JPM. hatutaki ujinga round hii.
tanzania ya sasa haihitaji watu wanaokuja nchini kwetu huku wakiwa wamebeba agenda ya siri ya kuja kuua mashirika yetu.
kama kuna mtu atakuwa kaumia na uamuzi huu, akumbatie transformer ya kenya power.hapa kazi tu....povu ruksa.
View attachment 881479View attachment 881480

utadhani kipande cha movie ya James bondNaona TPA tower imetuliaa kwenye backgroundView attachment 881482
City sita...lkn city status ya ki ldc...imagine after arusha hzo zngne zote ni upuuzi...eldoret na nakuru bado hazipewa city status ila zimeshinda city km nne au tano hapo katika hzo zenu sitaTanzania ina-cities 6 vs Kenya 3,kwaiyo hata mngekuwa na county 1000 zinaweza kujumlishwa lakn zisikutie mikoa hata 2 ya Tz kwa ukubwa.
Yaonyesha ni bonge la ngoma
Hahaaa au Mission Impossible Fall oututadhani kipande cha movie ya James bond
Nlidhani ntaona prezzo ndo kaitisha kukwala photo naye...boys will always be boys, i'm a boy too so i know i want i'm talking about.
they couldn't resist the temptation from a beautiful tanzanian girl so decided to ask her for a photo..
View attachment 881442
hakuna namna comrade.Haha akumbatie transfomer lol kadoda unavituko![]()
Niliiona hiyo post nikaidharau nikaona haina haja ya kumjibu kilaza,wakenya ni watu wa kuwasikitikia,wao hawajui history, hawajui chochote kuhusu Africa,wakati sisi tukipambana kuikomboa afrika,wao wako wanakuna matako ya mzungu,hata mashuleni kwao hawafunzwi history,wanafunzwa jinsi ya kuongea fluent English..It's either you are ignorant or you don't know history, who was the first to get independence bt SA and TZ? Unajua national Anthem ya Zimbabwe?
Mwanzo hamisa hapo ndo inakaa kaomba photo...ywashangaa na frasha ywafanya mziki..vile vile ni doctor...boys will always be boys, i'm a boy too so i know i want i'm talking about.
they couldn't resist the temptation from a beautiful tanzanian girl so decided to ask her for a photo..
View attachment 881442
City sita...lkn city status ya ki ldc...imagine after arusha hzo zngne zote ni upuuzi...eldoret na nakuru bado hazijapewa city status ila zimeshinda city km nne au tano hapo katika hzo zenu sita
Unamaanisha nini wewe? Wakenya wanafunzwa historia na jiografia pia.Niliiona hiyo post nikaidharau nikaona haina haja ya kumjibu kilaza,wakenya ni watu wa kuwasikitikia,wao hawajui history, hawajui chochote kuhusu Africa,wakati sisi tukipambana kuikomboa afrika,wao wako wanakuna matako ya mzungu,hata mashuleni kwao hawafunzwi history,wanafunzwa jinsi ya kuongea fluent English..