Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu ni tundu lissu wa Kenya wakuikosoa serikali lakini tofauti ni ati hatuwezi mpiga risasi ana Uhuru wa kusema opinion zake kama mkenya wowote ule.
hapana tundulisu sio economist my friend dr ndii ni economist, tundu lissu ni mwanasheria

hao ni watu wawili kabisa kwenye fani mbili tofauti kabisa👏👏👏👏😂😂😂😂

yeye huzungumza habari za uchumi na aliyasema leo yanatokea
 
wenzetu wa kujenga madaraja na kuyaita flyover hamjambo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kilifi bridge hyoView attachment 879791View attachment 879792View attachment 879793View attachment 879794
longest bridge in kenya 420m 😂😂😂😂
15983AB2-D365-4F33-9397-1C9A7E6DF2D7.jpeg





wacha nikuoneshe longest bidge in east africa😂😂😂😂👇👇👇👇
970m
150F1DE6-B47F-4789-B591-0ADA1173732A.jpeg






na siku zote usisahau the only cable stayed bridge in east africa nyerere bridge😂😂😂😂👏👏👏👏😂😂😂👇👇
E2655685-C187-4250-9CD8-72E6EA479308.jpeg
 
bila shaka amejitoa uhai kwasababu ya kukosa job(kenya inaongoza kwa idadi ya vijana wasio na ajira).

let's say RIP.
IMG_20180928_064931.jpeg
IMG_20180928_064906.jpeg
IMG_20180928_064903.jpeg
 
dr ndii ndo nani kenya..mbna wanichekesha...ikiwa mi mwnywe nilimpa kura odinga nikiwa mombasa...bt siasa zikiisha watu huungana na kujenga taifa...unafkiria kenya kuna vilaza km wa ccm na chadema..milele mtu ywaabudu chama..wale kila kitu ndioo na wengine kila kitu hapana...
hyu ndii namshuku ako na damu ya ya kitanzania
Hahahaha eti watu huungana baada ya uchaguzi, Kenya kila kitu ni ukabila hadi marriages ni ukabila, sehemu inayoongozwa na mjaluo, mkikuyu hana nafasi, ninyi hamtakaa muungane, laana ya ukabila itaendelea na inazidi kuwatafuna
 
Sio $80bn ni $86bln....last year 2017 tulikua $74bn na growth ya 4% tujafika $86bn SASA huu mwaka tukikua Kwa 5.9% *- 2019 ina maana tutakua na GDP ya over $100bn...sasa Fanya calculations zako za na 6.5 economic growth Kwa miaka 4 uone......
Sio rahisi hata,Amini ivyo ili uwe na amani!!
 
Ambia huyo dem aje hapa nimwite gay hata yeye asikie vile wengine hufeel wakitusiwa

nilishasema mandate ya kuzuia watanzania wasiendelee ku-doubt jinsia yako ipo mikononi mwako.

nilikupa mbinu rahisi ya kufanya hivyo. inaonekana haupo tayari kuifata au labda unafurahia kuwa humiliated.

kuna jambo muhimu hulijui,acha leo nikufafanulie. nimejiunga jf mwaka 2011 na tangu nijiunge, kenyaforum ndio jukwaa pekee ambalo huwa nalifatilia, ndio jukwaa pekee ambalo naweka comment zangu mara kwa mara.

all these years, kenyaforum has been a male dominated platform. kwa kupitia kenyaforum nimefanya mijadala na wakenya wengi sana,wote wakiwa ni wanaume.hata siku moja haikuwahi kutokea member mkenya ambaye amewahai kuji introduce kuwa yeye ni mwanamke.

nathubutu kusema wewe ndio mkenya wa kwanza kujitambulisha kama mwanamke hapa jamiiforum.

kwa mukutadha huo, kwanini watz wasilitie shaka jinsia yako?, maana hatukuzoea kudebate na wanawake hapa kenyaforum.
 
Back
Top Bottom