madem wa bongo karibia wote vilaza..na hawana uwezo wa kujadili mada km hizi..akili zao ni zero kqbiasa...wanachoweza wao ni kwenda kigodoroni na kucheza singeli..zaidi ya hapo utakawakuta jamvini waki sambaza umbea
usifananishe wanawake wa kitanzania waliopo jamiiforum na wale wa instagram.
jf imekusanya wanawake toka katika tabaka mbalimbali za kijamii, wapo wachumi, wanasheria, madaktari, waandisi na kadhalika.
kutokana na usomi wao na profession zao, wapo wanawake wenye uwezo wa hali ya juu wa kuchambua mambo na kujenga hoja kuzidi vivulana vyote vijobless vya kikenya. ni vile tu hawapo interested na issues za kenya ndio maana huwaoni kwenye thread hii.
moja kati ya wanawake wanaoheshimika sana hapa jamiiforum ni bibie
Sky Eclat. ni mjenga hoja mzuri, pia yupo well informed na masuala ya nchi jirani hususani kenya. nitaomba
Sista Horn Kombe Masufuri aweke emotion zake pembeni pale Sky Elact atakapo amua kuja kuchangia hoja zake kwenye thread hii.
sista horn itampasa ajikite katika kujibu hoja za mwanamke mwenzie badala ya kuishia kulalamika hukusu kudhalilishwa, mara wanawake wa kenya this, wanawake wa kenya that and blablabla.
Copy to
Sky Eclat