Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii habari inawauma sana wakenya😂😂😂😂👏👏👏👏👏👇👇👇👇👇

 
madem wa bongo karibia wote vilaza..na hawana uwezo wa kujadili mada km hizi..akili zao ni zero kqbiasa...wanachoweza wao ni kwenda kigodoroni na kucheza singeli..zaidi ya hapo utakawakuta jamvini waki sambaza umbea
usifananishe wanawake wa kitanzania waliopo jamiiforum na wale wa instagram.

jf imekusanya wanawake toka katika tabaka mbalimbali za kijamii, wapo wachumi, wanasheria, madaktari, waandisi na kadhalika.

kutokana na usomi wao na profession zao, wapo wanawake wenye uwezo wa hali ya juu wa kuchambua mambo na kujenga hoja kuzidi vivulana vyote vijobless vya kikenya. ni vile tu hawapo interested na issues za kenya ndio maana huwaoni kwenye thread hii.

moja kati ya wanawake wanaoheshimika sana hapa jamiiforum ni bibie Sky Eclat. ni mjenga hoja mzuri, pia yupo well informed na masuala ya nchi jirani hususani kenya. nitaomba Sista Horn Kombe Masufuri aweke emotion zake pembeni pale Sky Elact atakapo amua kuja kuchangia hoja zake kwenye thread hii.

sista horn itampasa ajikite katika kujibu hoja za mwanamke mwenzie badala ya kuishia kulalamika hukusu kudhalilishwa, mara wanawake wa kenya this, wanawake wa kenya that and blablabla.

Copy to Sky Eclat
 
You must be jobless. Tangu jana hujatoka jf
nimeshakata hii kitu yako😂😂😂👇👇
DD6BB354-ADC6-4C52-97B2-0B732545D83A.jpeg
 
Bado Hawa wakora wakenya wapo huku,na pointless nyingi walizonazo...
uwepo wao ni muhimu kwenye thread hii. kumbuka malengo yetu tunataka thread ifungwe rasmi mwaka 2025.

by then jpm atakuwa anaikabidhi nchi kwa rais mwingine akiwa anaicha ikiwa na maendeleo mengi sana.

so uwepo wa wakenya ni muhimu sana kwenye hii battle. bila wao battle haitoweza ku-trend.
 
uwepo wao ni muhimu kwenye thread hii. kumbuka malengo yetu tunataka thread ifungwe rasmi mwaka 2025.

by then jpm atakuwa anaikabidhi nchi kwa rais mwingine akiwa anaicha ikiwa na maendeleo mengi sana.

so uwepo wa wakenya ni muhimu sana kwenye hii battle. bila wao thread haitoweza ku-trend.
Sawasawa,tuwaombee uzima iliwaone hayo maendeleo,siunajua njaa ndiyo inawamaliza..KENYA NJAA TUPU,TANZANIA KAZI TU..
 
Hakuna mtu anajua kuwa hamisa yuko Kenya!!
We umejuaje???..au we si mtu?
Uwe unaposti vitu vya maana kuna dada yenu humu sista masufuri,msijidharaulishe!
hahahaha...hahahaha...we mtu sikuwezi.

naona wametoweka ghafla... nadhani wameenda kwenye base yao kujipanga upya.
 
mwanamke ni mwanamke tu, sista horn amatoweka ghafla....najua mda huu yupo busy jikoni kumuandalia "mzee" wake chakula, kuandaa sehemu ya kulala, kuandaa uniform za watoto kwa ajiri ya kesho asubuhi wakienda shule, then ikifika 9pm atakaa kwa luninga ya citizen kutazama local tv series.
 
Back
Top Bottom