Ukweli upi huo? Hujalijibuswali langu bado. Jambojet inamilikiwa na nani?asante kwa kukubaliana na ukweliπππ
shirika lako mwenyewe pamabana nalo sina muda wakuanza kukutaftia data wakat shirika ni lenu linaendesha hasara miaka mitano sasa na sababu ya hasara ni leased aircraftsπππππππππ
Tunazungumzia kuhusu magari kweli? Acha kutoroka mada wewewhere is quality au ndio hiiππππππ
View attachment 879346View attachment 879347View attachment 879348
ferry inaangusha magari ya watu inajaza watu kama mbuzi hio ndio quality transport ahahahahhahahaha sasa anagali marine transport za kigoamboniππππππTunazungumzia kuhusu magari kweli? Acha kutoroka mada wewe
hasira sina kabisa πππππππkwanza jua sababu ya loss alaf rudi tuongeepunguza hasira bro...mi nataka idadi na mwaka tu..
leo utanyooka tu..mwenzako jana kashindwa kuleta maelezo ya ile picha na wewe pia naona unaelekea hko hko
Yaani huko mnazindua kila kitu mpaka vyoo vya raia mjinimagu wewe ni chumaππππππ
View attachment 879351
sipendi ngonjera, ungekuja na evidence zinazopingana na uhalisia unaojulikana.we waijuwa mathare ama vp..nadhani umesimuliwa kijiweni...mathare kuna barabara kali sana ambayo kuipata bongo ni ndoto..ile mijengo iliyojengwa kibera tandale kuipata pia ni ndoto...
ukiumwa leta picha za kibera alafu zngne hapo hapo udaishe n za mathare
jambo jet ni shirika dogo sana my friend hzo ni sawa na precesion airways πππUkweli upi huo? Hujalijibuswali langu bado. Jambojet inamilikiwa na nani?
tunazindua kwasababu tumetumia 2 yrs kushangaza ulimwengu leoπππππYaani huko mnazindua kila kitu mpaka vyoo vya raia mjini
At least si kama ile iliosababisha vifo vya watu zaidi ya mia mbili .Iliangusha magari mangapi lakini?ferry inaangusha magari ya watu inajaza watu kama mbuzi hio ndio quality transport ahahahahhahahaha sasa anagali marine transport za kigoamboniππππππ
View attachment 879364View attachment 879365
Kubishana na watz ni laana tupujambo jet ni shirika dogo sana my friend hzo ni sawa na precesion airways πππ
hio ni ajali kama vile ajali za aina zote usitafute neno lakuzungumza kwenye ajali narudia kukwambia hakuna nchi yoyote africa mashariki na kati yenye modern marine transport zaidi ya tanzania hakunaππππππππAt least si kama ile iliosababisha vifo vya watu zaidi ya mia mbili .Iliangusha magari mangapi lakini?
asante kwa kilio broπππππππKubishana na watz ni laana tupu
Kwa raha zenu. Endeleeni kushangazanatunazindua kwasababu tumetumia 2 yrs kushangaza ulimwengu leoπππππ
Lazima uangushe kicheko unapotoa hoja zako. Inawezekana wewe na kadada ni wacheshi sana. And why is he ignoring me from yesterday?hio ni ajali kama vile ajali za aina zote usitafute neno lakuzungumza kwenye ajali narudia kukwambia hakuna nchi yoyote africa mashariki na kati yenye modern marine transport zaidi ya tanzania hakunaππππππππ
Okay lesbianasante kwa kilio broπππππππ