henry kilenga
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 1,329
- 1,119
Watta Wonderful Building sasa mlikuwa wapi kuwapa kazi watu hawa?!kazi ya kucopy na kupaste ni uvivu wa ajabu ajabu tu.
Na hii lugha tunatumia ni French amaMkenya hawezi kuongea kiswahili.
Built.. Hapana mzee.. Built ni Estim.. tanzanian companyAcha nikukumbushe TPA building was designed and built by a Kenyan architect
View attachment 873426
Hahahah sawa mtani!!!!
Hizi picha ukizitazama unahisi kbs urefu wa maisha umeongezeka Teh!!!!!
Contents zao wanazo air nyingine ni immoral,