No you just dont have sunsets!😉😉We need Tanzanians flying kenya Airways 😂😂
Mm niko kcmc.. Kiukweli wakenya wengi wanakuna pale moshi... Na hili sio kwamba ni kitu cha kushangaza coz watu wa wenu wa mipakan wanapataga shida ya huduma.. Hospital iko nairobi mtu anaona aje kcmc tu
So kumbe ulikuwa unaongelea kwa mipaka
But thats just common sense, you go to the nearest hospital if there is an emergency .________+ Mlongazila Hospital and the likesTz imedistribute major refferal hospital zake kwa zones
Muhimbili eastern zone and national
Benjamin mkapa for cental zone
Mbeya refferal for southern zone
Bugando for lake zone
Kcmc and Hydom for northen zone
So watu wa mipakani hawapati shida

Usikimbie ukweli, wakenya wanakuja Muhimbili kama hiyo article ya gazeti niliyokutumia, kwani Dar.inapakana na Kenya?. Kwanini watanzania wasiende Hospitali za Mombasa inayopakana na Tanga?. The truth of the matter is, Public hospitals in Tanzania are better equipped, cheaper and give better services than Kenya.![]()
![]()
![]()
So kumbe ulikuwa unaongelea kwa mipaka
![]()
![]()
![]()
![]()
But thats just common sense, you go to the nearest hospital if there is an emergency .
Anataman ghafla bin vuuu jamaa aperish hnaona umemtaja anaekutoaga jasho humu ndan![]()

THE HUB
View attachment 873223
DESIGNED BY KENYAN MUSICIAN AND ARCHITECT NAMELESS
He graduated from the University of Nairobi with a degree in Architecture although he made making music his priority
He also designed his own house
View attachment 873296
what's the purpose of those photos?
depends on your perspectivewhat's the purpose of those photos?
Tundu lisu alitibiwa wapiMm niko kcmc.. Kiukweli wakenya wengi wanakuna pale moshi... Na hili sio kwamba ni kitu cha kushangaza coz watu wa wenu wa mipakan wanapataga shida ya huduma.. Hospital iko nairobi mtu anaona aje kcmc tu
Every County has a referral hospital with atleast one Cancer MachineTz imedistribute major refferal hospital zake kwa zones
Muhimbili eastern zone and national
Benjamin mkapa for cental zone
Mbeya refferal for southern zone
Bugando for lake zone
Kcmc and Hydom for northen zone
So watu wa mipakani hawapati shida
Na hatujichochiDiamond akiuza njugu Nameless anatengeneza hii
View attachment 873353
View attachment 873355
View attachment 873361
View attachment 873362
View attachment 873363
View attachment 873364
View attachment 873365

the thing is the photos are beautiful but what exactly are you insinuating?depends on your perspective
Tuende Dar kutafuta nini na kenya iko na kila kituPale Diani Kenya
![]()
![]()
![]()
![]()






WaTz endeni mtishie Uganda sio sisi.hao jamaa hawawezifanya vitu vyao vya kipekee so hawana jipya wakaona wacopy the gherkin na one world trade centreHili swala la Wakenya kucopy copy buildings limenikereketa kwa muda mrefu mno leo limenifika hapa bora niwanyee tu!!! Wajirekebishe afu bora umkopi mtu ufanye zaidi yake au at least mlingane,majengo yote Kenya waliocopy wamefanya chini ya kiwango,wasipojirekebisha sitoshangaa kuona eiffel tower kibamia katikati ya Nairobi.Baaam!!!!!!!!
Hili swala la Wakenya kucopy copy buildings limenikereketa kwa muda mrefu mno leo limenifika hapa bora niwanyee tu!!! Wajirekebishe afu bora umkopi mtu ufanye zaidi yake au at least mlingane,majengo yote Kenya waliocopy wamefanya chini ya kiwango,wasipojirekebisha sitoshangaa kuona eiffel tower kibamia katikati ya Nairobi.Baaam!!!!!!!!
ULIZA ARCHITECTS.
'NDIO BABA' Kumbe wamekaliwa hivi na hio amani yao
