Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

karikoo kwa namna yoyote my friend huiwezi yani kwa namna yoyote ile๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Leta any quality building kama umeamini that Kariakoo of yours๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ukijaitwa chizi usilieView attachment 865762

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Umoja ina nyumba nyingi kushinda hako kakitu
14805094921_dca5f4d18b_b.jpg
 
Hata Nairobi siyo proper city, ukienda sehem inaitwa ngara watu wanakunya mjini, ni uchafu, ukienda stard kaloleni, jogoo raod Maeneo yote ya shauri moyo, ni ugolo mtupu, hata nairobi siyo jiji, nenda Buruburu, Kayole sijui, nenda Umoo, hakuna kitu ni uchafu na slums tu, kote huko nimefika, na niapajua vizuri,
Katikati ya jiji la Nairobi watu wanakunya pembeni kule river road, koinange pembeni, kuna gaborone, hivo nimesehma hata nairobi ni mkusanyiko tena wa watu wachafu na wehu huko nairo na wakora
Unajua buruburu?? Ama nikuiskia unaisjianga. Tena hizo mitaa zote umetaja hapo ni mostly Eastlands sio Nairobi yote buda
 
Hata Nairobi siyo proper city, ukienda sehem inaitwa ngara watu wanakunya mjini, ni uchafu, ukienda stard kaloleni, jogoo raod Maeneo yote ya shauri moyo, ni ugolo mtupu, hata nairobi siyo jiji, nenda Buruburu, Kayole sijui, nenda Umoo, hakuna kitu ni uchafu na slums tu, kote huko nimefika, na niapajua vizuri,
Katikati ya jiji la Nairobi watu wanakunya pembeni kule river road, koinange pembeni, kuna gaborone, hivo nimesehma hata nairobi ni mkusanyiko tena wa watu wachafu na wehu huko nairo na wakora
We kweli huelewi unaongea nini.
Buruburu!
buruburu1.jpg
stdmbsjydepgzsnep.jpg
 
Kimsingi majiji yetu yanakosa hadhi ya majiji. tusiwe tunamshambulia tu mleta mada. Tanga is just a town. Mbeya is also just ya town. Dar tatizo late squater na uchafu. Mwanza angalau. Arusha nayo tatizo lake squater. Dodoma is still a town like other towns like Musoma etc. Nchi hii watunga sera na sisi watendaji na raia tungepeleka nguvu kwanza kuimarisha miundombionu kwa amjiji ya Dar es Salaam, Mwanza na Arusha ili zifanane na majiji ya wenzetu kuliko kuwa na majiji kibao ya masifa ambazo ikifika tu usiku wa saa nne hata kupata chakula ni shida. Nenda Tanga na Mbeya usiku wa saa nne tu kama pa kula hujapatafuta na tochi. Mwanza, Arusha na Huduma muhimu ya Chakula na Malazi unaweza kupata muda wowote but tatizo miji hii sehemu kubwa haijapangwa. Hili ndilo linachangiwa uchafu.
hata tanzania pia kuna ma-squatter?! nilidhani kila mtu yuko na shamba lake na 'dream house' yake mwenyewe....
 
Back
Top Bottom