Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Screenshot_2018-09-14-09-48-48-018_com.instagram.android.jpg
 
The way you are behaving i can conclude that you don't have any estates. Hapo mmchapwa 10-0
wewe huwez kua na akili mpaka uwe jasiri kwanza umeniambia umeleta porojo ya kujua town zikibambanishwa nikakwambia lugha nyepesi list ur 10 town ww unazoziamini na mm nilete zangu alaf tupambanishe sasa hvi umeona kule umekaia kuti kavu umehamia kwenye estate labda nikufundishe kitu tanzania kila mtu hujenga nyumba yake kwenye kiwanja chake yani kumiliki kiwanja its not a big deal na mtu kujenga nyumba yake pia so ulitegemea mm niache kuishi kwenye nyumba yangu nikakae kwenye estate wakat most estate of kenya ni nyumba za kupanga au unabisha😝😝😝👆👆👆
 
sasa naona heshima kwa kariakoo imepatikana😂😂😂😂😂 jaribuni kwengine sasa
 
I can't hive Kariakoo any respect, tuliwaambia mlete any respectable building in Kariokoo mkajam.
karikoo kwa namna yoyote my friend huiwezi yani kwa namna yoyote ile😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom