simple math/logic:
msingi wa hii battle ni dar vs nairobi au nairobi vs dar kama wakenya walivyo request mwaka 2017.
ila sio dhambi ku-tease masuala ya nje ya dar au ya nje ya nairobi ili kuchangamsha thread.
kwa mujibu wa wakenya wa jf nairobi metro ni mjumuisho wa county nne, nazo ni nairobi, kajiado, machakos na kiambu.




View attachment 863536
ukubwa wa eneo la dar es salaam ni 1,590 km² na ukubwa wa eneo la county ya nairobi ni 696 km². kwa maana hiyo dar es salaam imeizidi ukubwa nairobi kwa 894 km².
kwa upande wa kenya kila county ina ukubwa wake. ukijumlisha kilomita za mraba za county zote nne zinazotengeneza nairobi metro, unapata 30,391 km².
View attachment 863543
View attachment 863544
View attachment 863545
View attachment 863546
Hitimisho(conclusion)
dar es salaam yenye ukubwa wa 1,590 km²
inapambana peke yake na eneo linalounda nairobi metro lenye ukubwa wa 30,391 km². yaani county nne zinatolewa jasho na mkoa mmoja tanzania.this is shame.

so it's 30,391km² vs 1,590 km².
pongezi kwa dar es salaam.


NB: hii post ni ngumu sana kwa wakenya kui qoute na kuijibu kisomi. sanasana watajaribu kuijibu kwa emotions, povu na hasira.