Are you advertising the colors...how much is it?
Are you advertising the colors...how much is it?
ndugu, usiamini kila kitu unachokisoma kwenye mtandao.Kweli kabisa mkuu mfano Kenya inaonekana ni nchi yenye uchumi ulioimarika lakini watu wake hawawezi kumiliki ardhi isipokuwa wale matajiri ndio waliojilimbikia ardhi, Afrika kusini kuna sehemu watu wake wanaishi ktk umasikini uliokithiri vurugu kila siku na kuuana.
Bora tubaki na umasikini wetu wenyeamani na kupendana
'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Ningekua bado mwanafunzi mayb ningekuuliza apo UoN kunazidi nn UDSM lakin mm ni expert sahv niko na kazi zangu mambo ya watoto hayo,hata ivyo kwa upande wa elimu ya juu hamna kitu mnatuambia izo ranking ni ups n down zakawaida
Upande wa nyumba hapana Nbo hakuna kitu ya maana kwakwel...kidogo ungezungumzia planning maybe
Hivi ukisema nyie ni business hub sie tunategemewa na nchi mob kibiashara to name few Congo, Zambia, Burundi, Rwanda, n sometimes Uganda,Zimbabwe hapo bado TZ yoote inategemea Dar bado
Sent using Jamii Forums mobile app
The fact will remain a fact hata ujidanganye. Nairobi Houses Majour international & Regional Companies HQs na bado its crucial to this regions economy some local kenyan companies are even in Tz na usijifanye hujui.
Hakuna kitu umejibu hapo hata moja, you have set own questions then ukazijibu.
One thing I like about facts ni huwezi change its either ukubali ama ukubalicity bus stage nairobi
uchafu 😀😀😀 wapi GDP???
View attachment 817932View attachment 817933
hehehheeh kimbizeni upepo
View attachment 817931
One word,awesome!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
KWANI WALIJENGA STADIUM IKUWE MARIDADI,KASARANI IS KNOW WORLDLY AS THE HOME OF CHAMPIONS!! The world comes to celebrate its best athletes in Nairobi Kasarani while dar remains a village stadiumView attachment 817962View attachment 817964View attachment 817965View attachment 817966View attachment 817967View attachment 817968View attachment 817969View attachment 817970View attachment 817971View attachment 817972View attachment 817973View attachment 817975View attachment 817976View attachment 817977View attachment 817979View attachment 817980View attachment 817981View attachment 817982View attachment 817983View attachment 817986View attachment 817987
Ok but for now,we are the trend!...buda...!!!!
we've too a national indoor stadium spesfic for basketball and boxing events
iko karibu na national stadium
FYI, kuna project inaendelea ya uwanja wa taifa ambapo kutakua na comprises of National stadium, Uhuru stadium, National Indoor and National Theatre hapo pia kutakua na swimming pool ( Olympic Standards )
Very good at coloring!...are you by chance an artist?The Giant
Halafu someone with no shame comparing this outstanding thing with Fort. Wtf
View attachment 818087View attachment 818088View attachment 818089View attachment 818090View attachment 818091
We jamaa sikia, watumishi wa serikali ni 600+K tu na tuko zaidi ya 55M sasa sekta binafsi ndio iko na watu wengi zaidi achilia wale ambao hawajaajiriwa wanafanya biashara zao wenyewe ...
Kama unahisi makampuni yameishia apo Kenya bado utakua na utahira ,makampuni ya simu tu yameajiri vijana kibao,viwanda na makampuni mengine kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanda na makampini ziko mingi kenya na watu pia wameajiriwa but the difference is education hights & experience matter alot in kenya. There are by far many graduates in kenya compared to Tanzania but employment is low due to occupation so people are now venturing in self employment. Hio ndio difference sasa.I just have this nagging question,what is the significance of a stadium without basic amenities like indoors arena?if every-time you want to have a swimming competition you have to go to Indian ocean!...yes it is a beautiful stadium!..we dont deny that,but is that why you built your stadium?..how many times have you held international competitions in tha t beautiful stadium?..c'mon lazy people style up and mark your priorities!..damn!
Hatuijui hata ujerumani iko wapi wala lugha ya kijerumani. Tunaongea kiswahili kijana.
Nyie bado mpo chini ya uongozi wa wanawake toka UK. Queen Elizabeth na Theresa May kataa nithibitishe.
basi tuko wengi including USA,India,South Africa,Nigeria,Kenya, Egypt na Canada.
Wanajua, sasa kama hana kitu ya kupost na anaskia machungu si ataandika tu ile kitu anafikiria.
ukitaka kujua umewaweza utaona wanapost Pic za Kibera hapa
Sasa unajisifia kutawaliwa? Shame on you.![]()
![]()
![]()
basi tuko wengi including USA,India,South Africa,Nigeria,Kenya, Egypt na Canada.
Nyinyi mlitawalwa na inchi ya ufala sana na ndio maana Ethiopia the Uncolonized country iko mbele kuwaliko. Yani sijui ni ugonjwa gani inawasumbua nyinyi?![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona leo unalialia 😂😂😂Sasa unajisifia kutawaliwa? Shame on you.
😡😡😡
Pinnacle pekee inacost $194M(minor project) bado tujaweka phase 2 ya SGR,Tatu City,Mombasa road express way, etc.... Yani tukicombine projects za buildings Pekee tunajaza budget yenyu yote!Iko dar metropolitan development project (DMDP) Ilianza 2015-2020 mradi wa $600M
Dec tunalauch 2&3phases za BRT $140,$160M respectively
Kinyerezi power plant ni mradi endelevu so ngoma hailali
Ujenzi wa madaraja unaendelea baada ya tazara na ubungo ziko project za mwenge,Morocco, chang'ombe, Magomeni...
mto msimbazi kujengewa kingo and list goes on...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nkt! Kama hauna evidence backing up hio porojo yako get lost. Kenya had two constitutions the Old & The new! Kwa hizo mbili hakuna mahali imeandikwa the kenyan president is a governor to the British monach!Kenyatta is a governor, representing UK.
Unabisha? Kama unabisha niambie who own kenya land?
You must be crazy buda