Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mods, kwanini mbona mukaamua kuifuta hii thread iliyokuwa ina-trend???
>>>
Week iliyopita nilikua Nairobi kenya na kilichonipeleka ni business deal
Unajua nairobi kuna bidhaa nyingi mno na first class kushinda hata dar
Pamoja na hilo nilitumia siku moja kufanya manunuzi yangu ya kibiashara pamoja na madeals kadhaa ya biashara nilifanikisha
Nikapata siku mbili za kula bata na kutembea hii ni mara yangu ya kwanza kuwa nairobi but sio first time kuwa kenya nimewahi tembea sehemu nyingine za kenya mara nyingi tyu
Nije kwenye point kiukweli nairobi ndo jiji bora kabisa east africa jiji linavutia mnooo halafu vitu vingi na vitega uchumi vingi vipo nairobi na nairobi ina
"watu wako na pesa mingi "
Dar tuna ya kujifunza kutoka nairobi.Jamani Msije mkasema nimeifavour nairobi kisa nimeenda noo nimetembea pia miji mingine hapa east africa mfano nilishaenda kigali ni jiji lenye mvuto ila the best ni nairobi
 
naomba povu na hasira zote za wakenya ziishie hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Je mbona tz inalag behind kenya in infrastructure,health,education,economy,uhuru....iwapo tanzania imebarikiwa na good arable land,minerals na resources..ilhali 60% of kenya is dry and arid...dont you ask yourself why??

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamin kitu pekee mkenya aliesoma kanizidi ni wizi mentality πŸ˜€ πŸ˜€

Sent using Jamii Forums mobile app
 
endelea kuedit ndugu ili ujipe matumaini na kujipongezaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
sija-edit kitu mkuu.
umepitia uzi huo lakini kuskia alichosema mdosi wako anayekulipa kila siku????
 
the modern marine transport in east and central africaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
4_1.jpg
DSC_0815.JPG
vlcsnap-2017-08-23-01h15m15s223.jpg
 
Back
Top Bottom