Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lewis mbona unatema povu sana,n what is kisumu anyway? Arusha ilimaliza huo Mji wenu kwa kila kitu the town ambayo iko serious ni eldoret though ni small one ,sasa ukitoa Nbo na mombasa mko na eldoret iyo kisumu wala sijui kama ni nn

Sent using Jamii Forums mobile app

aisee, nmecheka sana, karibu nionekane chizi.
 
B43D01BB-FF50-4B31-97BB-E54597E16EA2.jpeg
 
Kama unamke na kipato chenu hakifiki Tsh 1M kwa mwezi kazeni bidii sana
Na kama unaishi kibachelor bado hufukishi hata Tsh 500,000/= ongeza bidii sana
Sasa nachekasana mtu anaefurahia umiddle income wa $1000+ kwa mwaka wakati bado ni umaskini tu huo..
Tusikae kudanganyana muda mwingine tuambiane ukweli!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lewis mbona unatema povu sana,n what is kisumu anyway? Arusha ilimaliza huo Mji wenu kwa kila kitu the town ambayo iko serious ni eldoret though ni small one ,sasa ukitoa Nbo na mombasa mko na eldoret iyo kisumu wala sijui kama ni nn

Sent using Jamii Forums mobile app
lol..........arusha imeshindia kisumu nini,,,,,?malls? airport? roads? estates? or what.................arusha inatoshana na kericho kwa ukweli
 
Back
Top Bottom