Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakati kenya imetemga ardhi robo ya kenya kwa ajili ya kenyata huku tanzania mambo ni tofauti๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

 
sinilisema jaman asubuhi kua museven kaja kwa ajili ya SGR๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
rest in peace gari moshi inayozalisha hasara kwa majirani zetu๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

nahitaji povu zenu๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
12350A9E-BD1F-4981-B9B0-3438889E4D89.jpeg
EA4239F9-8739-4845-B2EB-5645850572D8.jpeg
C4F94FE9-316C-43C0-BCFC-91D66A9AFAE5.jpeg
 
Hii ndio picha sasa !!
Hata ivyo Dar haijawahi kulala usingizi
Izo tantalila Za pinaccle tutazizima na electric trains ambazo kwenu ni ndoto ..
Miradi mikubwa kama 2nd n 3rd phase of BRT nayo itakua imefikia hatua Za mwisho bila kusahau 7 mega flyovers hapa sizungumzii izo zenu uchwara Za 10% ,daraja la salender pamoja na mijumba ya nguvu ...kimiundombinu nadhan mtabaki kuota sasa, bila kusahau highway za nguvu zenye viwango sio huo uchochoro wa thika Apo View attachment 831330
na wimbo unaendelea sasa tuta tuki, ita๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hii ndio picha sasa !!
Hata ivyo Dar haijawahi kulala usingizi
Izo tantalila Za pinaccle tutazizima na electric trains ambazo kwenu ni ndoto ..
Miradi mikubwa kama 2nd n 3rd phase of BRT nayo itakua imefikia hatua Za mwisho bila kusahau 7 mega flyovers hapa sizungumzii izo zenu uchwara Za 10% ,daraja la salender pamoja na mijumba ya nguvu ...kimiundombinu nadhan mtabaki kuota sasa, bila kusahau highway za nguvu zenye viwango sio huo uchochoro wa thika Apo View attachment 831330
na wimbo unaendelea sasa tuta tuki, ita๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
IMG_20180424_124137.jpg
 
Hii ndio picha sasa !!
Hata ivyo Dar haijawahi kulala usingizi
Izo tantalila Za pinaccle tutazizima na electric trains ambazo kwenu ni ndoto ..
Miradi mikubwa kama 2nd n 3rd phase of BRT nayo itakua imefikia hatua Za mwisho bila kusahau 7 mega flyovers hapa sizungumzii izo zenu uchwara Za 10% ,daraja la salender pamoja na mijumba ya nguvu ...kimiundombinu nadhan mtabaki kuota sasa, bila kusahau highway za nguvu zenye viwango sio huo uchochoro wa thika Apo View attachment 831330
Sasa ikiwa sahii hamna hata SGR? By then sgr itakuwa imefika Uganda na Projects zingine kuanzishwa
 
Kitendo cha kukosa yale maji ya chumvi tuu ni kigezo tosha cha kupitwa kwa nairobi
 
Back
Top Bottom