Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cheki hapo kando yani Dar CBD iko na slum
maxresdefault.jpg
Jiji lenyewe hakuna URBAN PLANNING bana.
 
Hatujawai ficha slums zetu. Wakuficha wanajulikana. Slums zetu picha ziko all over. Zingine ziko kwenye GALLERY yako mwenyewe.

nani anaficha slum
hii ni google earth utaficha nn😂👇👇
google earth haitadanganya kaka
AEA9C784-2876-481D-9148-70F87F2CA8B2.png
4C35B458-7268-4F15-9A21-A315E14DC0A4.png
 
Cheki hapo kando yani Dar CBD iko na slum
maxresdefault.jpg
a place that has those buildings to host one of the most beautiful architectural pieces means that the area is having some serious change. Nyie huo uchafu wenu wa kibera mnajenga nini?
 
wanaforce dar iwe na slum😂😂😂
yani wanalazmisha ifanane na nairobi kwenye slum 😂😂😂😂

google earth hiii😂😂😂👇👇👇
haitadanganya mpaka yesu anahuka
2EF819FA-7427-4DF1-B7DD-4BBDEFF0089B.png
EE3A28A1-49CA-4E6A-97FB-5B7E3AE9CB43.png
 
Hatujawai ficha slums zetu. Wakuficha wanajulikana. Slums zetu picha ziko all over. Zingine ziko kwenye GALLERY yako mwenyewe.

that means you should be ashamed of yourselves. mmekalisha matako yenu kuisimanga tz wakati bado huo uchafu umejaza mitaa yenu perhaps hadi sebule zenu ni uchafu mtupu
 
aibu kabisa aibu!!!!!! wameona wameshindwa eti wanaleta countrieswith most poor people jamani hawa watu ni wajinga sana
yani wao wanafkiria google earth inaeza danganya wakati iko juu inatazama duni nzima😂😂😂😂😂😂
 
Hii ni Area ndogo saaana ya Dar....a;ready tunajua ukweli no matter how hard you try.
lakin google earth hawakuona 😂😂😂yani mzungu maana yake hakuona dar akaona nairobi😂😂😂👇👇👇👇
munamfanya mzungu mjinga sana vile
D68852C8-3020-49EB-A068-3FA3778C4720.png
 
aibu kabisa aibu!!!!!! wameona wameshindwa eti wanaleta countrieswith most poor people jamani hawa watu ni wajinga sana
wakishindwa hua wanakimbilia kwenye GDP😂😂😂😂😂😂😂 na huu mwaka kila wanapogusa ni pamoto
 
Back
Top Bottom